Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,577
- 6,582
Habari Wakuu,
Nimeikuta sera yetu ya nje mahala na nimeona si vibaya nikiileta hapa tuweze kuipitia kurasa hizi cache (Kurasa 27).
Kwa ufupi sera yetu ina maono haya:-
Vision: Kuwa chombo chenye ufanisi katika kusimamia masuala ya Kiuchumi ya Tanzania na maslahi yake yote katika mataifa ya nje ya nchi
Mission: Kuendesha diplomosia endelevu itakayo zalisha shughuli za Kiuchumi na kuiwezesha Tanzania mabadiliko ya Kimaendelo na kujitegemea
Motto: Bora kuliko jana, isiyo na upungufu zaidi ya kesho
Wabobezi wa Lugha nitaomba msaada wenu katika tafsiri endapo ni sahihi.
---
Vision: To become an effective promoter of Tanzania's economic and other national interests abroad.
Mission: To conduct an active diplomacy that will generate economic activity and facilitate Tanzania's rapid transformation and sustainable development.
Motto: "Better than yesterday, no less than tomorrow"
Nimeikuta sera yetu ya nje mahala na nimeona si vibaya nikiileta hapa tuweze kuipitia kurasa hizi cache (Kurasa 27).
Kwa ufupi sera yetu ina maono haya:-
Vision: Kuwa chombo chenye ufanisi katika kusimamia masuala ya Kiuchumi ya Tanzania na maslahi yake yote katika mataifa ya nje ya nchi
Mission: Kuendesha diplomosia endelevu itakayo zalisha shughuli za Kiuchumi na kuiwezesha Tanzania mabadiliko ya Kimaendelo na kujitegemea
Motto: Bora kuliko jana, isiyo na upungufu zaidi ya kesho
Wabobezi wa Lugha nitaomba msaada wenu katika tafsiri endapo ni sahihi.
---
Vision: To become an effective promoter of Tanzania's economic and other national interests abroad.
Mission: To conduct an active diplomacy that will generate economic activity and facilitate Tanzania's rapid transformation and sustainable development.
Motto: "Better than yesterday, no less than tomorrow"