Sera mpya ya Elimu, nahisi inatatua matatizo binafsi ya Waziri

Zygot

JF-Expert Member
Apr 14, 2016
2,238
2,866
Nchi yetu imefikia hatua sera ya nchi inaweza kutungwa ili kutatua matatizo ya familia ya waziri. Inasadikiwa Mungai alikuwa na watoto walioshindwa Sayansi ya sekondari, akaamua kuyaunganisha masomo.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilipigwa shinikizo kwa mwaka mmoja kuwapa mikopo wanafunzi wasome digrii za masters ili watoto wa waziri wapate nafasi. Baada ya mwaka mmoja wakasema hapana!

Bodi hiyo hiyo iliyolenga watoto wasio na uwezo vyuo vya serikali, ikasema sasa ni walioshinda sayansi, kiongozi mmoja akaona watoto wake wameachwa nje akasema hapana! Wote ni watanzania wapewe mikopo bila kujali ni University ya serikali au hapana.

Sasa Waziri huyu kaja na sera mpya. Ukiiangalia utadhani kuna kitu, lakini inakuja kuwabagua watoto wa maskini na matajili watakaosoma private schools.

Miaka 6 sawa lakini hawasemi 7 iliharibu nini? Umri wa kuanza umeshushwa na sera lakini hawasemi akianza na miaka 7 kuna shida gani na kwa nini ilikuwa 7?

Watoto wa waziri watasoma private je, watoto wa mwanakijiji kule chini atapata wapi sekondari ya kubeba watoto wote walioko primary? Sasa hivi kuna sekondari ambazo kwa miaka 20 hazijawahi kupata mwalimu wa hisabati! Yaani sera irekebishe ubora wa elimu kizembe kiasi hiki?

Nasikitika kuona kwamba waziri wa elimu ni profesa. Au ni wale wanaoamini anajua sana kiasi kwamba wengine hawamuelewi? Kichwa cha mwendawazimu.
 
Nchi yetu imefikia hatua sera ya nchi inaweza kutungwa ili kutatua matatizo ya familia ya waziri. Inasadikiwa Mungai alikuwa na watoto walioshindwa Sayansi ya sekondari, akaamua kuyaunganisha masomo.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilipigwa shinikizo kwa mwaka mmoja kuwapa mikopo wanafunzi wasome digrii za masters ili watoto wa waziri wapate nafasi.

Baada ya mwaka mmoja wakasema hapana! Bodi hiyo hiyo iliyolenga watoto wasio na uwezo vyuo vya serikali, ikasema sasa ni walioshinda sayansi, kiongozi mmoja akaona watoto wake wameachwa nje akasema hapana! Wote ni watanzania wapewe mikopo bila kujali ni University ya serikali au hapana.

Sasa Waziri huyu kaja na sera mpya. Ukiiangalia utadhani kuna kitu, lakini inakuja kuwabagua watoto wa maskini na matajili watakaosoma private school.

Miaka 6 sawa lakini hawasemi 7 iliharibu nini? Umri wa kuanza umeshushwa na sera lakini hawasemi akianza na miaka 7 kuna shida gani na kwa nini ilikuwa 7?

Watoto wa waziri watasoma private je, watoto wa mwanakijiji kule chini atapata wapi sekondari ya kubeba watoto wote walioko primary? Sasa hivi kuna sekondari ambazo kwa miaka 20 hazijawahi kupata mwalimu wa hisabati! Yaani sera irekebishe ubora wa elimu kizembe kiasi hiki?

Nasikitika kuona kwamba waziri wa elimu ni profesa. Au ni wale wanaoamini anajua sana kiasi kwamba wengine hawamuelewi? Kichwa cha mwendawazimu.
Waziri unamonea bure huo utafiti umefanywa na ngo moja ya twaweza, lakini umeshindwa kuonyesha tatizo wanao litatua liko wapi? Kwenye system iliopo naona kuna siasa ndani mfadhili ana faida mpya huenda
 
Badala ya kuboresha taaluma (content) na kuhakikisha kuna walimu wa kutosha walioandaliwa vizuri na kulipwa maslahi yao vizuri pasipokuwa na manung'uniko wao wanakuja na miaka ya kuanza na kumaliza.......shida sana hawa watu.​
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?
Mimi hiyo ya kufuta mitihani nimeipenda,ikiwezekana hata TFF wafute ligi kuu,wachezaji wawe wanafanya mazoezi tu.
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?
Mtoto akitaka ujuzi ajiunge na vyuo vinavyotoa fani lakini elimu ya msingi na sekondari lengo lake ni kumuandaa mwanafunzi kinadharia ili sasa ajiunge kusomea fani. Haiwezekani eti shuleni mwanafunzi asifundishwe fiziksi au kemistri badala yaje afundishwe kufuga hiyo sio elimu. Kuna ujuzi mtoto anapaswa kufundishwa,nq wazazi mfano kufua, kuoga vyombo, kupika na shughuli zinhine za famila. Shuleni ni mahali pq mtoto kupata maarifa ya kinadhqria i sasa akimaliza asomee fani.

Japokuwa sijaisoma hiyo sera mpya lakini nikikumbuka ya Mungai na jinsi alivyovuruga elimu kama JK asingesahihisha sijui ingekuwaje leo hii. Tanzania tunaendeshwa na mihemko na uanaharakati kuliko kuyaendea mambo objectively. Hivi kweli tatizo ni miaka saba? Mpaka leo kuna shule hazina madawati hazina waalimu lakini hapo inaonekqna tatizo ni miaka.
Mimi naamini sio lqzima kila ntoto afike form Iv hata kama hajiwezi kimasomo. Inatakiwa,mtu asome hadi levo inayolingana na upeo wake. Mambo haya ndiyo yalifanya huko nyuma vyuo vya kqti vikqgeuzwa kutoa degree kama uyoga ili tu kucatch up na nchi zingine kwa lengo la kuongeza uwiano wa kuwa na degree na ndio tukazalisha matatizo tuliyonayo sasa..

Elimu sio kwenda tu.
 
Watoto wa masikini wamegeuzwa maabara za wanasiasa.

Wanafanya majaribio kwakua watoto wao hawasomi hizo shule.

Tunatengeneza kizazi cha kutawaliwa na waliopata elimu nzuri na kutoka familia zenye nafasi kisiasa.

Watoto wa maskini wataendelea kuwa wasindikizaji tu kwenye nchi hii.
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?
Hapo kwenye kuondoa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi tutegemee sifuri za kufa mtu kidato cha nne. Nadhani kwenye hiyo sera kuna ajenda ya chini ya kapeti kwamba watoto wasiwe wanarudi mitaani wakiwa wadogo ili kupunguza ndoa za utotoni.
 
Nchi yetu imefikia hatua sera ya nchi inaweza kutungwa ili kutatua matatizo ya familia ya waziri. Inasadikiwa Mungai alikuwa na watoto walioshindwa Sayansi ya sekondari, akaamua kuyaunganisha masomo.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilipigwa shinikizo kwa mwaka mmoja kuwapa mikopo wanafunzi wasome digrii za masters ili watoto wa waziri wapate nafasi.

Baada ya mwaka mmoja wakasema hapana! Bodi hiyo hiyo iliyolenga watoto wasio na uwezo vyuo vya serikali, ikasema sasa ni walioshinda sayansi, kiongozi mmoja akaona watoto wake wameachwa nje akasema hapana! Wote ni watanzania wapewe mikopo bila kujali ni University ya serikali au hapana.

Sasa Waziri huyu kaja na sera mpya. Ukiiangalia utadhani kuna kitu, lakini inakuja kuwabagua watoto wa maskini na matajili watakaosoma private school.

Miaka 6 sawa lakini hawasemi 7 iliharibu nini? Umri wa kuanza umeshushwa na sera lakini hawasemi akianza na miaka 7 kuna shida gani na kwa nini ilikuwa 7?

Watoto wa waziri watasoma private je, watoto wa mwanakijiji kule chini atapata wapi sekondari ya kubeba watoto wote walioko primary? Sasa hivi kuna sekondari ambazo kwa miaka 20 hazijawahi kupata mwalimu wa hisabati! Yaani sera irekebishe ubora wa elimu kizembe kiasi hiki?

Nasikitika kuona kwamba waziri wa elimu ni profesa. Au ni wale wanaoamini anajua sana kiasi kwamba wengine hawamuelewi? Kichwa cha mwendawazimu.
Unadhani nani anapaswa kuchukua hatua?
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?

Finland has no standardized tests. Their only exception is something called the National Matriculation Exam, which is a voluntary test for students at the end of an upper-secondary school (equivalent to an American high school.)
 
Finland has no standardized tests. Their only exception is something called the National Matriculation Exam, which is a voluntary test for students at the end of an upper-secondary school (equivalent to an American high school.)
I agree with you sir Maulaga59.

Adding to that, Finland education system is the best education system in the World.

Exam based education system kills reasoning, kills thinking, kills innovation, kills creativity and kills the whole concept of learning.

Tujifunze huko Finland, tuachane na haya mamitihani.
 
Vitu 2 tu vimenivutia.
1. Kufuta mitihani. Elimu ya mitihani siioendi kapisa. Mitihani inaua kabisa dhana ya kusoma, inaweka dhana ya mashindano.

2. Kupunguza miaka ya shule. Hakuna sababu ya kusoma miaka 7.

3. Tatizo ambalo sijasikia wakilitajia suluhisho ambalo ndio tatizo kuu la mfumo wetu wa elimu ni je mfumo ama mtaala mpya utawapa wanafunzi ujuzi wa kutosha wa kukabiliana na maisha ama tutaendelea kukaririsha watoto?
hapo hapo kwenye hakuna sabab ya kusoma miaka saba..tunaomb utuambie sababu ya kusoma miaka sita.
 
Elimu ya Tanzania imekua mzigo sana kwa watoto zetu
Mbaya zaidi elimu yetu imepitwa na wakati, yani haiendani na kasi ya dunia
 
Finland has no standardized tests. Their only exception is something called the National Matriculation Exam, which is a voluntary test for students at the end of an upper-secondary school (equivalent to an American high school.)
Don't imitate, much as we admire the successful! Finland is no example to our education system. Tukiendelea kusema Finland, Singapore, etc., ni kama kusema hatujitambui. Hakuna mtoto wa Finland asiyejua kusoma na kuandika. Hata taahira anatafutiwa mbinu za kuongeza uelewa wake. Hapa kwetu hata mwalimu anafundisha asichokijua.
 
Back
Top Bottom