SENSA 2022: Katika mafunzo kuna rushwa inaendelea, hasa wilaya ya Chemba

Cunch

Senior Member
Apr 19, 2014
162
142
Habari wadau,

Huku mafunzo ya sensa yakiendelea katika wilaya ya Chemba kuna mchezo mchafu unafanyika hasa kwa wakufunzi walio katika kada ya elimu(Maafisa elimu kata) kwani walichokifanya ni kuwapa walimu wakuu USIMAMIZI WA MAUDHUI ikiwa hawakuomba kazi hiyo mtandaoni. Mfano mzuri ni kituo cha FARKWA.

Uhusika wa walimu wakuu hawa ilikuwa ni WASAILI tu na kuikweli wamekuwa wakileta shida katika kuelewa matumizi ya Application ya sensa kwenye mafunzo kutokana na uelewa mdogo.

Wameingizwa kwenye semima na sasa wamepewa USIMAMIZI WA MAUDHUI na wahusika WALIOOMBA nafasi hiyo kuachwa kama makarani.

Pia katika suala la mitihani wakuu hawa wamekuwa wakitoa rushwa kwa wakufunzi na kukesha kwenye makazi ya wakufunzi wakipewa majibu ya mtihani na kuelekezwa namna ya kujibu maswali ya kujaza dodoso la sensa na inajulikana wazi.

Hii inaonesha ni jinsi gani wakufunzi wanavyotumia madaraka yao vibaya.

MAMA ANNA MAKINDA NA WAHUSIKA WENGINE LIANGALIENI HILI MAANA RUSHWA IMEKITHILI KATIKA MAFUNZO HAYA.
 
Endeleeni kuumaa wana ccm nyie, maana mliona kutoa haki kwa vijana wanaoijua IT itakuwa mmewanufaisha palefu, mkaamua kuwekana uanachama sasa mnaanza kupinduana nyinyi kwa nyinyi.
 
NBS hawakuweka kipengele cha viongozi watapita kutokana na vyeo vyao.
Hawa walichofanya ni kudhulumu haki ya wahusika.
 
Habari wadau,

Huku mafunzo ya sensa yakiendelea katika wilaya ya Chemba kuna mchezo mchafu unafanyika hasa kwa wakufunzi walio katika kada ya elimu(Maafisa elimu kata) kwani walichokifanya ni kuwapa walimu wakuu USIMAMIZI WA MAUDHUI ikiwa hawakuomba kazi hiyo mtandaoni. Mfano mzuri ni kituo cha FARKWA.

Uhusika wa walimu wakuu hawa ilikuwa ni WASAILI tu na kuikweli wamekuwa wakileta shida katika kuelewa matumizi ya Application ya sensa kwenye mafunzo kutokana na uelewa mdogo.

Wameingizwa kwenye semima na sasa wamepewa USIMAMIZI WA MAUDHUI na wahusika WALIOOMBA nafasi hiyo kuachwa kama makarani.

Pia katika suala la mitihani wakuu hawa wamekuwa wakitoa rushwa kwa wakufunzi na kukesha kwenye makazi ya wakufunzi wakipewa majibu ya mtihani na kuelekezwa namna ya kujibu maswali ya kujaza dodoso la sensa na inajulikana wazi.

Hii inaonesha ni jinsi gani wakufunzi wanavyotumia madaraka yao vibaya.

MAMA ANNA MAKINDA NA WAHUSIKA WENGINE LIANGALIENI HILI MAANA RUSHWA IMEKITHILI KATIKA MAFUNZO HAYA.
Hii nchii ovyoo sana yani mtumishi mzima unaenda kujidhalilisha kugombea kikazi cha muda na chenye posho ambayo aizidi 1.5 million tsh.

Watumishi tupunguze kujidhalilishaa!
 
Habari wadau,

Huku mafunzo ya sensa yakiendelea katika wilaya ya Chemba kuna mchezo mchafu unafanyika hasa kwa wakufunzi walio katika kada ya elimu(Maafisa elimu kata) kwani walichokifanya ni kuwapa walimu wakuu USIMAMIZI WA MAUDHUI ikiwa hawakuomba kazi hiyo mtandaoni. Mfano mzuri ni kituo cha FARKWA.

Uhusika wa walimu wakuu hawa ilikuwa ni WASAILI tu na kuikweli wamekuwa wakileta shida katika kuelewa matumizi ya Application ya sensa kwenye mafunzo kutokana na uelewa mdogo.

Wameingizwa kwenye semima na sasa wamepewa USIMAMIZI WA MAUDHUI na wahusika WALIOOMBA nafasi hiyo kuachwa kama makarani.

Pia katika suala la mitihani wakuu hawa wamekuwa wakitoa rushwa kwa wakufunzi na kukesha kwenye makazi ya wakufunzi wakipewa majibu ya mtihani na kuelekezwa namna ya kujibu maswali ya kujaza dodoso la sensa na inajulikana wazi.

Hii inaonesha ni jinsi gani wakufunzi wanavyotumia madaraka yao vibaya.

MAMA ANNA MAKINDA NA WAHUSIKA WENGINE LIANGALIENI HILI MAANA RUSHWA IMEKITHILI KATIKA MAFUNZO HAYA.
Wacha wachache wanufaike
 
Niliomba usimamizi wa maudhui nikaenda kwenye interview majina yakarudi cha kushangaza kwenye kata yangu wale wale waliokuwa wanatufanyia usaili wakajiweka kuwa makarani(ikumbukwe wao waliomba usimamizi) nikashangaa sana
Hao ni
1. Robert Mwakafwila mkuu wa sekondari ikimba Kyela
2. Aneth Jojo Mwampashe mkuu wa shule ya msingi Kilasilo.
3. Fransic Ernest Ngaida (Mbako S/M)
4. Mwakimu mkuu wa shule ya msingi Ibungu jina simjui sasa vijana kama sisi mnataka tukaibe ili hali nyie mna mishahara? Mnataka hii boda Kasumulu tuchomwe moto kama wezi? Hujuma kila mahali sio sawa kabisa mmetoa vijana wengi ambao hawana ajira
 
Habari wadau,

Huku mafunzo ya sensa yakiendelea katika wilaya ya Chemba kuna mchezo mchafu unafanyika hasa kwa wakufunzi walio katika kada ya elimu(Maafisa elimu kata) kwani walichokifanya ni kuwapa walimu wakuu USIMAMIZI WA MAUDHUI ikiwa hawakuomba kazi hiyo mtandaoni. Mfano mzuri ni kituo cha FARKWA.

Uhusika wa walimu wakuu hawa ilikuwa ni WASAILI tu na kuikweli wamekuwa wakileta shida katika kuelewa matumizi ya Application ya sensa kwenye mafunzo kutokana na uelewa mdogo.

Wameingizwa kwenye semima na sasa wamepewa USIMAMIZI WA MAUDHUI na wahusika WALIOOMBA nafasi hiyo kuachwa kama makarani.

Pia katika suala la mitihani wakuu hawa wamekuwa wakitoa rushwa kwa wakufunzi na kukesha kwenye makazi ya wakufunzi wakipewa majibu ya mtihani na kuelekezwa namna ya kujibu maswali ya kujaza dodoso la sensa na inajulikana wazi.

Hii inaonesha ni jinsi gani wakufunzi wanavyotumia madaraka yao vibaya.

MAMA ANNA MAKINDA NA WAHUSIKA WENGINE LIANGALIENI HILI MAANA RUSHWA IMEKITHILI KATIKA MAFUNZO HAYA.
Tulia wewe Ngoswe! Pambana
 
NBS hawakuweka kipengele cha viongozi watapita kutokana na vyeo vyao.
Hawa walichofanya ni kudhulumu haki ya wahusika.
Ndugu unalalamika usichokijua, muongozo wa sensa uliwapa mamlaka walimu wakuu wanne na mek kuwa wasaili wa makaran na umaudhui, lakn nafasi zao ni watakuwa wasimamiz wa maudhui. So nafasi zao zilikuwa automatic hta kama aliomba ukaran akachaguliwa na Mek hivyo ataingia nafas za maudhui.
 
Back
Top Bottom