LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Nahakika kabisa mwisho wa sendeka wa ubunge umefika mwisho baada milya kuhamia cdm.simanjiro imekuwa haina mwakilishi bungeni,sendeka amekuwa kazi yake kubwa ni kudandia hoja za wabunge wengine jimbo lake amelisahau.simanjiro kuna njaa hakuna maji barabara mbovu lakini utamsikia mbunge anawasemea arumeru watapata maendeleo kivipi?wakati kwake zero.sasa asubiri chopa inakuja huko na kamanda milya chuma cha pua morani wa ukweli .sendeka muda wa kuchukua mchanga tz one kwa kisingizio wa uwt unakaribia.