Sendeka, Maji-Marefu na Lusinde Haya yanatoka mioyoni Mwenu?

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums
 
Mkuu kwani hawa hawako na Ma-mvi!!?
Ikibainika lazima LTK wapate kibarua!!
 
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums

He! Kweli au si kweli?
 
maji marefu si ni yule mganga!

bora wamekataa fedha za tunguli, am sure alitaka kumpiga juju Nassari.
 
Hii ni mind game,ccm ni moja ya vyama hovyo kabisa hapa duniani.Mbinu chafu ndo zinazowawezesha kuendelea kuwepo hai vinginevyo wangekuwa wameshapotea siku nyingi.Kwa hili la akìna sendeka halina maana yoyote zaidi ya mbinu chafu.Mtaona baada ya uchaguzi
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana kwa watu kama ccm waliokomaa kisiasa.
 
duu, naona Arumeru , kampeni imekuwa a style yake aisee, tofauti na igunga, kimsingi hawa magamba ni wananafiki sana... swala ki wapotezea tu. hasa huyo mchawi du.. bora izo pesa ilikataliwa
 
Nadhani hapa kuna matatizo mengine ya kimkakati kwa CDM; very grave mistakes!!! naomba kweli washindeee lakini wasiposhinda Arumeru....
 
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums

Maji Marefu hakupeleka pesa ya mafuta alipleka majini, mngeshangaa kama mngepokea. Arumeru mngepasikia tu. Kumbuka kesi ya Mpendazoe inayoendelea dhidi ya Mahanga, Pamoja na akili alionayo lakini kuna wakati alikuwa akiulizwa maswali ambayo ata mtoto mdogo angejibu. Alijikuta akisema hajui, mara amechoka. Usichezee magamba hasa ktk anga za EL na RM wako tayari kutoa roho ya mtu.
 
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums

Daah mimi hapa napata mashaka, huyu maji marefu nakumbuka siku moja alisema huwa anawapa dawa wagombea wa ccm washinde, so labda ni sehemu ya mikakati yao kutumia nguvu za giza ili siyoi ashinde.
My take: Chadema wasiwakubali hao jamaa kumsogelea Nassari
 
kwayanayoendelea meru chadema ushindi labda tuukatae wenyewe...yaani tupoteze umakini ktk kuweka mawakala waaminifu nakulinda kura zetu!unawezaje kushindwa na timu Inayoongozwa na mtaalamu wa usingizi kama wasira!au mtu asiyeamini alisemalo kama Lusinde au yule pro wa ile taaluma Isiyo eleweka!vijana wameru wanasema nibora kuongozwana mtu anayejua matatizo na changamoto zinazokuzunguka kuliko kuongozwa na wakuja asiyejua hata miiko na tamaduni zake...pia wanasema utampigiaje kura mtu asiyejipigia yeye kwanza!hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Kwa kweli siwapendi C.C.M kwani wanakumbatia mambo ambayo ki msingi si faafu tena katika jamii. Wao huwa wanafanya mambo kwa mtindo wa kisengelenyuma na kanyagatwende. Pia wanapenda kukumbatia mfumo mzee kwa kujifanya wanaamini kuwa utu uzima ni busara na busara ni pamoja na mvi kichwani.. Kwa tunaomfahamu vizuri Maji Marefu, hiyo haitusumbui. Tunafahamu tu kwamba yeye hana tatizo na mambo ya fedha. Kwa mfano, wakati fulani alikuwa anamiliki timu fulani ya mpira huko wilayani kwake. Ikitokea kwamba timu yake imefungwa basi huwa hasiti kutoa zawadi kwa timu iliyoifunga timu yake. Pia alikuwa na umiliki wa Coastal ila ikitokea sasa Simba ambayo PROF. Maji ( kama anavyotambulika huko Korogwe)ni mnazi wake mkuu hapo utafurahi. Hata hivyo sina hakika kuwa pesa zake ni za majini, na sifahamu kuwa zinaweza kuleta madhara. Ninachoweza kusema ni kwamba Prof. Maji ni tofauti sana ki mtazamo na wabunge wengine ambao wana shule ya maana. Huyu jamaa ameishia std 4, sasa anachokifanya anajaribu kuwa tofauti na wabunge waliosoma ili apate advantage. Huu ni mfano mwingine: Panapokuwa na mikutano na hafla fulani fulani, huwezi kumkuta anakula chakula high table, utamkuta upande wa madereva na watu wa kawaida kabisa. mara nyingi utamkuta mitaani anapiga stori na hata wasukuma mikokoteni. Kati ya watu wanaojua kuwateka majority ni huyu bwana kwa hiyo kwa upande wangu sijashangaa Maji kutoa hizo fedha kwani yeye kwake mambo ya upinzani ni formalities tu,
 
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums



Ndgu Mgeni Wetu, Inaonekana unapenda ujiko sana, bila shaka we ni kutoka ile kanda yetu,nikitambo nimependa thread zako, ila sifurahishwi na hiyo sifuri kwenye likes given. May be u don appreciate others' thread.make it even 1
CHADEMA, huwa wanapongezana bana, acha bana, 401 by 0.Invalid corelation
 
Hata Nassari kukubali the hug lilikuwa kosa, but since kuna Mungu anayeona alishatoa ahadi kuwa hakuna silaha itakayoinuka dhidi ya watu wake ambayo itapata nafasi as per Isaya 54:17...
 
CHADEMA lazima wajiulize kwa nini Mkuu wa Polisi Upelelezi alikuwa Igunga ndio huyo huyo amepelekwa Arumelu kama kazi yake sio kuisadia CCM kuiba kura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom