mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF kila mtu kwa Wakati wake amejaribu japo kwa Kificho au kwa Uwazi kutoa Pongezi kwa Joshua Nassari kuhusu ushindi wa Wazi uliojioesha.
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums
MAJI MAREFU: yeye alifika Kambi ya CHADEMA na kuomba kuonana na Nassari ili ampe pongezi na Kutoa Mchango wake wa mafuta Laki 5 ambao ulikataliwa vikali na Mameneja wa Kampeni na kuzua Tafrani.
OLE SENDEKA;yeye alichukuwa hatua ya Kwenda Mikungani Mbuguni kuusaka Msafara wa Mgombea ili kumkaribisha Mjengoni na kukutana Nao njiani ambapo aliusimamisha na kutaka kumkumbatia dr Slaa na akamgomea na kuamua Kumkumbatia Nassari huku akicheka na kukiri kuwa Mmeshinda
Lusinde: yeye alimpigia Simu Nassari na kusema kuwa Hongera Mgombea wetu hajiwezi na CCM hawataki Maswali tofauti na Nyie CHADEMA mnatoa Fursa hiyo na Siyoi ni spoon Feeding hajiwezi.
MY TAKE: Hawa mabwana haya yanatoka Mioyoni mwao?
Nikiripoti kutoka Arumeru ni mimi Mgeni wenu wa Jamii Forums