RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Nimefuatilia Kwa Muda Kama Masaa Manne hivi weekend hii kuhusu sakata la Kijana Wetu Mark la Kuvuja kwa Data zaidi ya Mil 87 za Watumiaji wake.
Na Alipoitwa kwenye Congress senate mmoja anaeitwa John Kennedy nimemuona kama Anauelewa mdogo sana Wa Mambo ya Internet na akafikia Hatua Akamwambia Mark atumie Lawyers wake waandike upywa User agrerment na Kwamba Asitumie Swahili language kwenye User Agreement zake za Facebook ili Mtu wa Kawaida Wa Marekani aweze Kuelewa..
Is Facebook Only in America?. Senator Mkubwa kiasi hicho unashindwa Kujiuliza Swali dogo kama Hili... They only care about America.
Nimekuwekea Linknhapo Chini.. Unaweza Ku-skip mpk kuanzia Dakika ya kwanza na Kuendelea
Na Alipoitwa kwenye Congress senate mmoja anaeitwa John Kennedy nimemuona kama Anauelewa mdogo sana Wa Mambo ya Internet na akafikia Hatua Akamwambia Mark atumie Lawyers wake waandike upywa User agrerment na Kwamba Asitumie Swahili language kwenye User Agreement zake za Facebook ili Mtu wa Kawaida Wa Marekani aweze Kuelewa..
Is Facebook Only in America?. Senator Mkubwa kiasi hicho unashindwa Kujiuliza Swali dogo kama Hili... They only care about America.
Nimekuwekea Linknhapo Chini.. Unaweza Ku-skip mpk kuanzia Dakika ya kwanza na Kuendelea