Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,645
Modern marriages. Zimejaa must knows nyiingi lakini migogoro ndio inazidi tu kila siku. Jibu la ndoa ni moja tu, nalo ni chungu kama mchunga: mpango wa Mungu ulikuwa mke asiwe amewahi kuonja dyudyu kabla ya ndoa. Mume amjue mke akiwa bikra, hili lina maana kubwa sana. Kufanywa hovyo kabla ya wakati kunampa ujuzi mwanamke wa mema na mabaya. Siku akipata mume kwenye ndoa atakumbuka dudu la anko Sam wa enzi zile, na la bwana Masoud, walivyokuwa wakimpa burudani tofauti na anayoipata sasa. Huu ndio mwanzo wa kozi na semina nyiingi za "ukitaka kumridhisha mwanamke..." Yaani inabidi kifunguliwe chuo cha jinsi ya kumridhisha mwanamke ambaye amepitia vyuo mbali mbali mtaani, akaonja saizi mbalimbali, akakunjwa kwenye mikao tofauti tofauti, halafu aje aridhishwe na kidude kimoja, chenye staili na ujuzi mmoja tu!!
Umewahi jiuliza, mwanamke aliyeolewa akiwa bikra atakijulia wapi kibamia? Ni lini ataijua staili ya kichwa chini miguu juu kama mumewe hajamfundisha na kumzoesha? Je, ni wakati gani atasema "mume wangu mvivu kitandani?" Yote haya yanapimwa kwa kutumia uzoefu wa nyuma, mtiti aliokuwa akipambana nao kabla ya kuolewa na huyu mume. Na ndivyo inavyokuwa pia kwa mke wa ndoa akiamua kuchepuka, akakutana na ujuzi mpya, hawezi kutulia kwenye wali nyama tu, wakati watoto wa kihuni wanamlisha pizza!! Ndoa itayumba tu, kwa sababu ya ujuzi wa mema na mabaya, hata kama mtahudhuria semina milioni. Hii ni sababu Mungu aliamuru hapo zamani mwanamke wa aina hii auawe kwa kupigwa mawe tu. Ni kama simba wa Serengeti, akishakula nyama ya binadamu tu, lazima atafutwe auawe, kwani nyama ya mtu ni tamu kuliko, atahamishia windo lake kwenye makazi ya binadamu. Ndivyo ilivyo kwa mwanamke wa aina hii, hawezi kamwe kutulia, atajitahidi kujificha asijulikane uovu wake. Kama unabisha wasikilize wachungaji kina mgogo wanasema usimchunguze mke. Yaani hii mambo imehalalishwa mpaka makanisani, lol!! Na sasa tumepata wachungaji wafundaji, wakielezea staili nzuri za kumridhisha mke kitandani, disgusting!!
Ndio maana wazee wa zamani walisisitiza bikra kuwa kigezo cha msingi kabisa kabla ya kubariki ndoa. Wachumba wanaingia chemba, washuhudiaji wanakaa nje malangoni kusubiri kitambaa cheupe kinatoka kikiwa chekundu, sio chenye ute. Tena walikuwa na ujuzi wa kuijua damu ya bikra original na feki, kama zinavyotengenezwa na wachina siku hizi. Huu ni ukweli mchungu mno!! Achana na semina za kina Mitimingi, jinsi ya kumridhisha mke n.k. Zamani wanawake walikuwa hawalalamiki wala kukimbia waume zao kufuata dyudyu, lakini leo wanayasaka kwa nguvu ili kupata vionjo tofauti.
Unaniuliza kwa nini mwanamke tu na sio mwanamume? Ha haah, iko hivi. Sisi wanaume hata ukituwekea vishimo vya utelezi mia moja, ni ngumu kusema kipi ni kitamu kuliko kingine. Akili zetu ziko oriented kwenye uelekeo mmoja tu, kukojoa, basi, na ndipo tunafeel utamu wooote. Kama unabisha jiulize, mnufaika mkubwa wa romance ni nani? Ndio maana mwanamume ana uwezo wa kuchukua kahaba muuza mbunye akaingia naye gest na akazama directly na bado akafurahia mapenzi!! Akili zetu zinaamua utamu wa mke kwa mvuto wa nje, sio wa ndani. Ndio maana wanawake mnahangaika kuboresha muonekano wa nje ili kutuzuga kwa urembo feki, na sisi wanaume tunahangaika kuboresha dyudyu zetu na mifuko yetu ya mapesa, ndizo silaha zetu. Six pack peleka magetini ukawe baunsa.
Hudhuria semina zote, fanya yoooote uwezayo, lakini kama kweli unataka kuwa salama kwenye hili, tafuta bikra, ujichanie mwenyewe, afu hakikisha hana marafiki mashakunaku wasijemzibua masikio akaja kuwa mbaya kuliko waliozoea uchafu huo. Kwa hali ilivyo, dunia haiwezi tena kurejea kwenye mpango halisi wa uumbaji wa Mungu, masemina yamekuwa mengi mno, zikitolewa fomula mbalimbali jinsi ya kuwa na ndoa imara, basi WEWE chukua hatua. Fuata ndoa kwa mujibu wa muumba wako ukamfanye kuwa kiongozi wako. Ndoa ya kutoka kwa Mungu: Kiongozi ni Mungu - mume - mke. Kutokea juu, Mungu anampenda mume, mume anampenda mke na kutokea chini mke anamtii mume na mume ana mtii Mungu. Katika hilo hakuna vidumu, wala michepuko wala dawa za kuongeza saizi.
Msingi mkuu wa ndoa, kwanza mwanamke awe bikra, pili mwanamume na mwanamke wawakiane tamaa ya kupitiliza, sio tamaa ya kutiana tu, itoke moyoni kabisa, tamaa ya kuwa pamoja muda wote, kutokutaka mwenzio aumie, asononeke, ateseke n.k. ndipo wazazi wayapime mapenzi hayo na kama yametoka kwenye nafsi. Watu wa namna hii wakioana basi watazikana tu, iwe mvua iwe jua, hawa watakuwa wameunganishwa na Mungu. Zamani ilikuwa kawaida tu kusikia binti fulani amehamishiwa mbali na wazazi wake ili tu asiolewe na kijana fulani hapo kijijini. Afu tena mnasikia, huko aliko amegoma kula mpaka amuone huyo kijana, hata inabidi wazazi wamrejeshe tu. Siku hizi hakuna hayo, ukimpa mgongo tu washua wanakuchapia, binti wa aina hiyo angerudi na mimba!! Kwa sasa inatosha.
Nasubiri mapovu.
Umewahi jiuliza, mwanamke aliyeolewa akiwa bikra atakijulia wapi kibamia? Ni lini ataijua staili ya kichwa chini miguu juu kama mumewe hajamfundisha na kumzoesha? Je, ni wakati gani atasema "mume wangu mvivu kitandani?" Yote haya yanapimwa kwa kutumia uzoefu wa nyuma, mtiti aliokuwa akipambana nao kabla ya kuolewa na huyu mume. Na ndivyo inavyokuwa pia kwa mke wa ndoa akiamua kuchepuka, akakutana na ujuzi mpya, hawezi kutulia kwenye wali nyama tu, wakati watoto wa kihuni wanamlisha pizza!! Ndoa itayumba tu, kwa sababu ya ujuzi wa mema na mabaya, hata kama mtahudhuria semina milioni. Hii ni sababu Mungu aliamuru hapo zamani mwanamke wa aina hii auawe kwa kupigwa mawe tu. Ni kama simba wa Serengeti, akishakula nyama ya binadamu tu, lazima atafutwe auawe, kwani nyama ya mtu ni tamu kuliko, atahamishia windo lake kwenye makazi ya binadamu. Ndivyo ilivyo kwa mwanamke wa aina hii, hawezi kamwe kutulia, atajitahidi kujificha asijulikane uovu wake. Kama unabisha wasikilize wachungaji kina mgogo wanasema usimchunguze mke. Yaani hii mambo imehalalishwa mpaka makanisani, lol!! Na sasa tumepata wachungaji wafundaji, wakielezea staili nzuri za kumridhisha mke kitandani, disgusting!!
Ndio maana wazee wa zamani walisisitiza bikra kuwa kigezo cha msingi kabisa kabla ya kubariki ndoa. Wachumba wanaingia chemba, washuhudiaji wanakaa nje malangoni kusubiri kitambaa cheupe kinatoka kikiwa chekundu, sio chenye ute. Tena walikuwa na ujuzi wa kuijua damu ya bikra original na feki, kama zinavyotengenezwa na wachina siku hizi. Huu ni ukweli mchungu mno!! Achana na semina za kina Mitimingi, jinsi ya kumridhisha mke n.k. Zamani wanawake walikuwa hawalalamiki wala kukimbia waume zao kufuata dyudyu, lakini leo wanayasaka kwa nguvu ili kupata vionjo tofauti.
Unaniuliza kwa nini mwanamke tu na sio mwanamume? Ha haah, iko hivi. Sisi wanaume hata ukituwekea vishimo vya utelezi mia moja, ni ngumu kusema kipi ni kitamu kuliko kingine. Akili zetu ziko oriented kwenye uelekeo mmoja tu, kukojoa, basi, na ndipo tunafeel utamu wooote. Kama unabisha jiulize, mnufaika mkubwa wa romance ni nani? Ndio maana mwanamume ana uwezo wa kuchukua kahaba muuza mbunye akaingia naye gest na akazama directly na bado akafurahia mapenzi!! Akili zetu zinaamua utamu wa mke kwa mvuto wa nje, sio wa ndani. Ndio maana wanawake mnahangaika kuboresha muonekano wa nje ili kutuzuga kwa urembo feki, na sisi wanaume tunahangaika kuboresha dyudyu zetu na mifuko yetu ya mapesa, ndizo silaha zetu. Six pack peleka magetini ukawe baunsa.
Hudhuria semina zote, fanya yoooote uwezayo, lakini kama kweli unataka kuwa salama kwenye hili, tafuta bikra, ujichanie mwenyewe, afu hakikisha hana marafiki mashakunaku wasijemzibua masikio akaja kuwa mbaya kuliko waliozoea uchafu huo. Kwa hali ilivyo, dunia haiwezi tena kurejea kwenye mpango halisi wa uumbaji wa Mungu, masemina yamekuwa mengi mno, zikitolewa fomula mbalimbali jinsi ya kuwa na ndoa imara, basi WEWE chukua hatua. Fuata ndoa kwa mujibu wa muumba wako ukamfanye kuwa kiongozi wako. Ndoa ya kutoka kwa Mungu: Kiongozi ni Mungu - mume - mke. Kutokea juu, Mungu anampenda mume, mume anampenda mke na kutokea chini mke anamtii mume na mume ana mtii Mungu. Katika hilo hakuna vidumu, wala michepuko wala dawa za kuongeza saizi.
Msingi mkuu wa ndoa, kwanza mwanamke awe bikra, pili mwanamume na mwanamke wawakiane tamaa ya kupitiliza, sio tamaa ya kutiana tu, itoke moyoni kabisa, tamaa ya kuwa pamoja muda wote, kutokutaka mwenzio aumie, asononeke, ateseke n.k. ndipo wazazi wayapime mapenzi hayo na kama yametoka kwenye nafsi. Watu wa namna hii wakioana basi watazikana tu, iwe mvua iwe jua, hawa watakuwa wameunganishwa na Mungu. Zamani ilikuwa kawaida tu kusikia binti fulani amehamishiwa mbali na wazazi wake ili tu asiolewe na kijana fulani hapo kijijini. Afu tena mnasikia, huko aliko amegoma kula mpaka amuone huyo kijana, hata inabidi wazazi wamrejeshe tu. Siku hizi hakuna hayo, ukimpa mgongo tu washua wanakuchapia, binti wa aina hiyo angerudi na mimba!! Kwa sasa inatosha.
Nasubiri mapovu.