Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Kabla ya kufunga ndoa (kwa wakristo sijui kwa waislam na wengineo) huwa kuna semina iwapasayo kuhudhuria na huwa inakazia juu ya maisha ya ndoa, Baada yapo ndipo watu hufunga ndoa na kuanza maisha ya ndoa!
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa