Semina ya ndoa

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Kabla ya kufunga ndoa (kwa wakristo sijui kwa waislam na wengineo) huwa kuna semina iwapasayo kuhudhuria na huwa inakazia juu ya maisha ya ndoa, Baada yapo ndipo watu hufunga ndoa na kuanza maisha ya ndoa!
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa
 
Kabla ya kufunga ndoa (kwa wakristo sijui kwa waislam na wengineo) huwa kuna semina iwapasayo kuhudhuria na huwa inakazia juu ya maisha ya ndoa, Baada yapo ndipo watu hufunga ndoa na kuanza maisha ya ndoa!
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa

Zinasaidia kama kile ulichofundishwa utakiweka kichwani na kukifanyia kazi otherwise kama unakuwa tu excited kuoa ama kuolewa na unasahau mengine ndio hapo vilio vinaanza
 
Kabla ya kufunga ndoa (kwa wakristo sijui kwa waislam na wengineo) huwa kuna semina iwapasayo kuhudhuria na huwa inakazia juu ya maisha ya ndoa, Baada yapo ndipo watu hufunga ndoa na kuanza maisha ya ndoa!
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa
Mimi ninaongea kwa uzoefu maana nimehudhuria mafunzo hayo!

Ni KWAMBA MAFUNZO YALE NI KAMA MAFUNZO MENGINE YOYOTE yanayotolewa kwa mtu na yakadharauliwa!..Chukua mfano wa mafunzo ya ukimwi, nasikia wale wenyewe wanaotoa semina wanazungukana ile kinyama...Lakini pia, ukiacha semina za kanisa, siku ya harusi kunakuwa na NASAHA NZITO toka pande za wazazi zote 2, nasaha za MC, na wote waliohudhuria nia yao ni kuwatakia maisha mema, lakini sikio la kufa halisikii dawa!

Mimi nimevihifadhi sana vitabu nilivyopewa kwenye smina hizo na vinatusaidia sana na mywife wangu, kwahiyo kwa upande wangu semina hiyo ilikuwa constructive sana!
Nawsilisha!
 
Zinasaidia kama kile ulichofundishwa utakiweka kichwani na kukifanyia kazi otherwise kama unakuwa tu excited kuoa ama kuolewa na unasahau mengine ndio hapo vilio vinaanza

Lakini naona hii ni kama nature! kwa sababu ndoa ya kwanza (tunavyamini sisi wakristo) ilifungwa na mungu pale bustani ya edeni. Wakapewa maagizo yooooteeee lakini mwisho ya yote wakageuka na kufanya waliyokatazwa. Na alianza kukosea ni hawa (wakina dada/mama muangalie hili sana)
 
Mimi ninaongea kwa uzoefu maana nimehudhuria mafunzo hayo!

Ni KWAMBA MAFUNZO YALE NI KAMA MAFUNZO MENGINE YOYOTE yanayotolewa kwa mtu na yakadharauliwa!..Chukua mfano wa mafunzo ya ukimwi, nasikia wale wenyewe wanaotoa semina wanazungukana ile kinyama...Lakini pia, ukiacha semina za kanisa, siku ya harusi kunakuwa na NASAHA NZITO toka pande za wazazi zote 2, nasaha za MC, na wote waliohudhuria nia yao ni kuwatakia maisha mema, lakini sikio la kufa halisikii dawa!

Mimi nimevihifadhi sana vitabu nilivyopewa kwenye smina hizo na vinatusaidia sana na mywife wangu, kwahiyo kwa upande wangu semina hiyo ilikuwa constructive sana!
Nawsilisha!

Nimekubali mkuu
 
Mimi ninaongea kwa uzoefu maana nimehudhuria mafunzo hayo!

Ni KWAMBA MAFUNZO YALE NI KAMA MAFUNZO MENGINE YOYOTE yanayotolewa kwa mtu na yakadharauliwa!..Chukua mfano wa mafunzo ya ukimwi, nasikia wale wenyewe wanaotoa semina wanazungukana ile kinyama...Lakini pia, ukiacha semina za kanisa, siku ya harusi kunakuwa na NASAHA NZITO toka pande za wazazi zote 2, nasaha za MC, na wote waliohudhuria nia yao ni kuwatakia maisha mema, lakini sikio la kufa halisikii dawa!

Mimi nimevihifadhi sana vitabu nilivyopewa kwenye smina hizo na vinatusaidia sana na mywife wangu, kwahiyo kwa upande wangu semina hiyo ilikuwa constructive sana!
Nawsilisha!

Wengi hata huwa hawana muda wa kupitia walau mara moja kuangalia kwenye hivyo vitabu siku wakiishafunga ndoa ndio imetoka
 
semina zile km formalities nyngne tu
-km hamjajiandaa kiakili na kwa vitendo kuish kindoa may dear sweeeet hat braza ili semina haisaidii chochote
-swala la watu kuish pamoja linajumuisha mambo meng baina yenu wawili na si klwa utegemez wa nguvu za njia eg seminar,maneneo ya wazaz,ushaur wa marafiki
-ni nyinyi mkiamua kuisimamia show bas ndoa inasmama lakin km nyinyi wawili HAMJAFIX KUWA PAMOJA BAS daah 3world war daily home kwenu.
 
Lakini naona hii ni kama nature! kwa sababu ndoa ya kwanza (tunavyamini sisi wakristo) ilifungwa na mungu pale bustani ya edeni. Wakapewa maagizo yooooteeee lakini mwisho ya yote wakageuka na kufanya waliyokatazwa. Na alianza kukosea ni hawa (wakina dada/mama muangalie hili sana)

Kuna watu wana hulka za ajabu sana immediately baada ya kufunga ndoa anarudi kule kule alikokuwa mwanzo
 
semina zile km formalities nyngne tu
-km hamjajiandaa kiakili na kwa vitendo kuish kindoa may dear sweeeet hat braza ili semina haisaidii chochote
-swala la watu kuish pamoja linajumuisha mambo meng baina yenu wawili na si klwa utegemez wa nguvu za njia eg seminar,maneneo ya wazaz,ushaur wa marafiki
-ni nyinyi mkiamua kuisimamia show bas ndoa inasmama lakin km nyinyi wawili HAMJAFIX KUWA PAMOJA BAS daah 3world war daily home kwenu.


Wajiandae mara ngapi, mtu huwezi kufikia hatua ya kufunga ndoa halafu unasema ulikuwa bado haujajiandaa kiakili nakataa kabisa sababu hayo ni maamuzi yenu wote wawili
 
Mimi ninaongea kwa uzoefu maana nimehudhuria mafunzo hayo!

Ni KWAMBA MAFUNZO YALE NI KAMA MAFUNZO MENGINE YOYOTE yanayotolewa kwa mtu na yakadharauliwa!..Chukua mfano wa mafunzo ya ukimwi, nasikia wale wenyewe wanaotoa semina wanazungukana ile kinyama...Lakini pia, ukiacha semina za kanisa, siku ya harusi kunakuwa na NASAHA NZITO toka pande za wazazi zote 2, nasaha za MC, na wote waliohudhuria nia yao ni kuwatakia maisha mema, lakini sikio la kufa halisikii dawa!

gud for u
lakin msingi wake ni nyinyi wawili(KUPENDANA KIUKWELI) then seminar ilikuja km kucompliment 2
lakin km hamjajijenga wawili nyinyi ata aje papa na libraly yake kazi inakuwa bure
HONGERA PAKAJIMMY!!!!!!
 
Kabla ya kufunga ndoa (kwa wakristo sijui kwa waislam na wengineo) huwa kuna semina iwapasayo kuhudhuria na huwa inakazia juu ya maisha ya ndoa, Baada yapo ndipo watu hufunga ndoa na kuanza maisha ya ndoa!
Hizi semina zinasaidia chochote kweli?
Maana kila kukicha ni ma ugomvi ya ndoa na kuvunjiaka
Au pale kwenye semina hawa wanandoa huwa kama mapicha ya mekaa tu wala hawajui kinachoongelewa wakati huo?
Hii ni ajabu kabisa

Kwa sababu wanandoa to-be huenda pale kwa utashi wao (hamna sitting allowance) na kwa wingi inapasa nikubali zinasaidia sana. Na kitu chema kwenye hizi semina ni kuwa "wafundishaji" ni kutoka katika "all walks of life" : Mapadre/WanaNdoa wa siku nyingi/WanaNdoa wapya/e.t.c" inawafanya wana ndoa to-be kupata uzoefu ulio sahihi wa MAISHA YA NDOA

Lakini inakupaswa kufahamu kuwa "siyo kila mtu aliye elimishwa ameelimika"! Sababu za ndoa kuvunjika na vurugu zisizokwisha ni swala pana sana ambalo hata kwenye hizo semina huwa wale "wzoefu" wanajaribu kutoa mifano mingi tu ya ndoa zilizoshindwa au ambazo zinaweza kushindwa.

Kwahiyo, Kimbweka, fanya hima, nenda Msimbazi Centre upata "SOMO" - na mkeo mtarajiwa pia - this is more than kitchen-party!
 
semina zile km formalities nyngne tu
-km hamjajiandaa kiakili na kwa vitendo kuish kindoa may dear sweeeet hat braza ili semina haisaidii chochote
-swala la watu kuish pamoja linajumuisha mambo meng baina yenu wawili na si klwa utegemez wa nguvu za njia eg seminar,maneneo ya wazaz,ushaur wa marafiki
-ni nyinyi mkiamua kuisimamia show bas ndoa inasmama lakin km nyinyi wawili HAMJAFIX KUWA PAMOJA BAS daah 3world war daily home kwenu.

Mtu haishi kwa mkate tu. Ili ndoa kudumu na kuwa ya upendo na kuvumiliana inahitaji mambo mengi ikiwa ni pamoja na mengine kutoka nje ya wahusika kama semina ushauri NK. Hinyo naamini semina zinasaidia kwa wale wanaojali nakuona umuhimu wake. Kila mtu anajifunza na kuelewa, ila asipotaka kujifunza au akajifunza lakini akagoma kuelewa basi hawezi kuelewa, semina ni mhimu kwa wanandoa.

Nawasilisha hoja
 
Wajiandae mara ngapi, mtu huwezi kufikia hatua ya kufunga ndoa halafu unasema ulikuwa bado haujajiandaa kiakili nakataa kabisa sababu hayo ni maamuzi yenu wote wawili

KUKUBALIANA namanisha kupendana kidhati
bt km nimekubali unioe ili nifaid utajiri wako wat do u thk afta marrriage?nitakuwa mke anayejua majukumu yake?
-km nimeolewa kwa fashen tu wat do u thk?ntwaweza kweli kuish katika mising ya ndoa?????
ndoa asilimia 90 siku izi watu wanaoana kwa sababu maalumu lakin si kwa sababu wamependana kidhati
--mind u km mmpendana sana kidhati kaka yangu ata km hamjapewa semina sijui mafundsho ya ndoa mtaish vyema tu tena bila ugomv na kila mmoja atapafom dutyu zake accrdngly....tofaut na KM HAMJAPENDANA NA MKAPEWA SEMINAR HAITAWEK KWA SABABU MSING WA AYO MAFUNDSHO KUWORK HAKUNA...!!!!!!!
 
Hapo inategemea kwann watu waliamua kufunga ndoa...1. demu kashika mimba 2. Ili wapate watoto 3. Wazazi wamelazimisha 4. Niwe kama marafiki zangu 5. Kuoa ni lazima 6. Mapenzi 7. etc etc etc kwaiyo ukicheki watu walio wengi huingia ktk marriage kwa mitazamo tofauti tofauti na wala sio suala la kupata the right partner wa kuishi nae milele....
 
Kwa sababu wanandoa to-be huenda pale kwa utashi wao (hamna sitting allowance) na kwa wingi inapasa nikubali zinasaidia sana. Na kitu chema kwenye hizi semina ni kuwa "wafundishaji" ni kutoka katika "all walks of life" : Mapadre/WanaNdoa wa siku nyingi/WanaNdoa wapya/e.t.c" inawafanya wana ndoa to-be kupata uzoefu ulio sahihi wa MAISHA YA NDOA

Lakini inakupaswa kufahamu kuwa "siyo kila mtu aliye elimishwa ameelimika"! Sababu za ndoa kuvunjika na vurugu zisizokwisha ni swala pana sana ambalo hata kwenye hizo semina huwa wale "wzoefu" wanajaribu kutoa mifano mingi tu ya ndoa zilizoshindwa au ambazo zinaweza kushindwa.

Kwahiyo, Kimbweka, fanya hima, nenda Msimbazi Centre upata "SOMO" - na mkeo mtarajiwa pia - this is more than kitchen-party!
ivi ennh?
msimbazi wanatoa tution izi?
najuaga makanisan wanatoa km mkideclare kabsa ndoa...thax 4the info
 
Kwa sababu wanandoa to-be huenda pale kwa utashi wao (hamna sitting allowance) na kwa wingi inapasa nikubali zinasaidia sana. Na kitu chema kwenye hizi semina ni kuwa "wafundishaji" ni kutoka katika "all walks of life" : Mapadre/WanaNdoa wa siku nyingi/WanaNdoa wapya/e.t.c" inawafanya wana ndoa to-be kupata uzoefu ulio sahihi wa MAISHA YA NDOA

Lakini inakupaswa kufahamu kuwa "siyo kila mtu aliye elimishwa ameelimika"! Sababu za ndoa kuvunjika na vurugu zisizokwisha ni swala pana sana ambalo hata kwenye hizo semina huwa wale "wzoefu" wanajaribu kutoa mifano mingi tu ya ndoa zilizoshindwa au ambazo zinaweza kushindwa.

Kwahiyo, Kimbweka, fanya hima, nenda Msimbazi Centre upata "SOMO" - na mkeo mtarajiwa pia - this is more than kitchen-party!

Thanks mkuu nataka nifunge ndoa na ROSE
 
Back
Top Bottom