Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
namimi pia sikumaanisha kimbweka wewe....mpo wengi!!!!!!!!Siyo rose wewe wapo wengi
namimi pia sikumaanisha kimbweka wewe....mpo wengi!!!!!!!!Siyo rose wewe wapo wengi
thats y i lk uKUKUBALIANA namanisha kupendana kidhati
bt km nimekubali unioe ili nifaid utajiri wako wat do u thk afta marrriage?nitakuwa mke anayejua majukumu yake?
-km nimeolewa kwa fashen tu wat do u thk?ntwaweza kweli kuish katika mising ya ndoa?????
ndoa asilimia 90 siku izi watu wanaoana kwa sababu maalumu lakin si kwa sababu wamependana kidhati
--mind u km mmpendana sana kidhati kaka yangu ata km hamjapewa semina sijui mafundsho ya ndoa mtaish vyema tu tena bila ugomv na kila mmoja atapafom dutyu zake accrdngly....tofaut na KM HAMJAPENDANA NA MKAPEWA SEMINAR HAITAWEK KWA SABABU MSING WA AYO MAFUNDSHO KUWORK HAKUNA...!!!!!!!
Lakini naona hii ni kama nature! kwa sababu ndoa ya kwanza (tunavyamini sisi wakristo) ilifungwa na mungu pale bustani ya edeni. Wakapewa maagizo yooooteeee lakini mwisho ya yote wakageuka na kufanya waliyokatazwa. Na alianza kukosea ni hawa (wakina dada/mama muangalie hili sana)
Mimi ninaongea kwa uzoefu maana nimehudhuria mafunzo hayo!
Ni KWAMBA MAFUNZO YALE NI KAMA MAFUNZO MENGINE YOYOTE yanayotolewa kwa mtu na yakadharauliwa!..Chukua mfano wa mafunzo ya ukimwi, nasikia wale wenyewe wanaotoa semina wanazungukana ile kinyama...Lakini pia, ukiacha semina za kanisa, siku ya harusi kunakuwa na NASAHA NZITO toka pande za wazazi zote 2, nasaha za MC, na wote waliohudhuria nia yao ni kuwatakia maisha mema, lakini sikio la kufa halisikii dawa!
Mimi nimevihifadhi sana vitabu nilivyopewa kwenye smina hizo na vinatusaidia sana na mywife wangu, kwahiyo kwa upande wangu semina hiyo ilikuwa constructive sana!
Nawsilisha!
Hata ukitoa mafunzo ya namna gani, hakuna furaha ndani ya ndoa kama haikupangwa na Mungu. Watu mnaokotana tu kwenye mitandao kila mtu na tabia zake. Unadhani semina inaweza kumbadili mtu tabia?