Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
kwanzat yamependeza kuliko ww
Alafu machizi wengi huwa ni magenius kiaina. Naona kama kawa leftie amelemewa na gravity na rightie bado anapambana na hali yake.Hahaaa.....Aliyefikiri na kufanya hicho kitendo, amenidhihirishia kuwa kila mtu ana aina fulani ya uchizi.