habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
3000Naomba kujua gharama
Hahhaa Mkuu acha utani, ndo upo kikaz huko hutaingiaHiyo sii gesti ni kaburi
Kwa mgeni atakimbia,Mvua ikinyesha mkuu humo si lazima muanze kukimbizana
SiingiiHahhaa Mkuu acha utani, ndo upo kikaz huko hutaingia
Ukiingia ndani utakutana nayoKaunta ipo wapi hapo
Huwezi kuboreka, KaribuVip kuna A/C na WIFI nataka nifanye booking.....