Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,206
- 2,949
Wanafika ata 34 but nategemea kuongeza idadi wiki hii mkuu maana ashajaa kwenye kumi na nane za mnyamwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaze mkuu mie naombea woote wanaotaka kutenda mema aiseeMaombi yako muhimu nivuke salama.
Uzinzi ni ideology ya dini na mafundisho. Na ni dhana ya mind manipulation. Wazee wetu wa zamani wa kiafrika ambao waliishi kwenye spiritual level kubwa hawakuwa wajinga kuwa na wanawake wengi. In fact, you create your world from your thoughts. Ukifkr kitu flan zinaa achana nacho, coz it makes sense kwako not to everyone.Wengi huona fakhari sana suala la kuzini.
Ni uasi mbele ya Mola.
Nimeshafikisha miaka 40+ na nina mke ndiye huyo tu ninayemjua kimapenzi.
Sijawahi kuzini na maisha yanaendelea kama kawaida.
Maisha bila uzinifu yanawezekana.
Factinategemeana na umri ulioanza mapenzi, maeneo uloishi, shule au chuo ulosoma, kazi yako na kiwango chako cha uchumi.
kama hujatembea maeneo mengi, huna kazi ya kipato cha kukutosha, hujichanganyi na watu, hujapitia maeneo kama chuo, umeshika dini sana, umekaa kijijini, huna geto lako na umechelewa kuanza mahusiani na umewahi kuoa (umeanza miaka ya karibunu) huezi fikisha idadi kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio tushasema sasa. Kaa na heshima yako sisi tukae na kweli yetu. Wasipokuheshimu nothing changes zaidi ya fake people kuondoka wakabaki wa maana.Ukishasema itasaidia nn?
Huku ni kujishushia heshima na kujidhalilisha hakuna ufahari au kusifiwa kuwa mzinifu...
True said.hazijawai kufanana mkuu,
afu K sio K tuu, hata uzuri wa mwanamke haufanani, haupo sawa na hata utam wa mapenzi hauezi kua sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
164 na huwa natuza kumbu kumbu ya majina na tarehe wengine ambao tulikutana tu kwenye pombe ambao hata muda wakuulizana majina haukuwepo hao huwa na andika #kamboga au #kandezi so nahisi mpaka na huu mwaka uishe ntakuwa nimesogea sogea kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafika ata 34 but nategemea kuongeza idadi wiki hii mkuu maana ashajaa kwenye kumi na nane za mnyamwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
kauntabuku tena duh. La quire ngapi kwanza?Tunaruhusiwa kuwataja majina?
Nimeshika kauntabuku lenye orodha Yao hapa, nasubiri goahedi yako mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya endelea kukusanya data zako.Ndio tushasema sasa. Kaa na heshima yako sisi tukae na kweli yetu. Wasipokuheshimu nothing changes zaidi ya fake people kuondoka wakabaki wa maana.
Sent using Jamii Forums mobile app