Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 581
Nafurahishwa na wale wanaotumia uwezo wao wote kufanikisha jambo wanalotaka
huyu naye ni miongoni mwao kati ya wale wanaotumia uwezo wao wote kufanikisha jambo wanalotaka anaitwa Ben Carson , aliyekuwa mgombea wa urais kwenye chama cha Repulican aliyeonesha ushindani mkubwa na ukosoaji wa nguvu wa sera za mgombea wa urais Donald Trump ambaye sasa ni Rais mteule wa marekani lakini mwishoni akashindwa na kuamua kumuunga mkono Donald Trump na sasa anayo matumaini makubwa kuwepo kwenye serikali ya Donald Trump.
kupitia ukurasa huu sema chochote kuhusu Ben carson na usisahau kuwa yeye ndiye mwandishi wa vitabu pendwa vya "mikono itendayo maajabu " na cha sasa kijulikanacho kama "Lenga juu"
huyu naye ni miongoni mwao kati ya wale wanaotumia uwezo wao wote kufanikisha jambo wanalotaka anaitwa Ben Carson , aliyekuwa mgombea wa urais kwenye chama cha Repulican aliyeonesha ushindani mkubwa na ukosoaji wa nguvu wa sera za mgombea wa urais Donald Trump ambaye sasa ni Rais mteule wa marekani lakini mwishoni akashindwa na kuamua kumuunga mkono Donald Trump na sasa anayo matumaini makubwa kuwepo kwenye serikali ya Donald Trump.
kupitia ukurasa huu sema chochote kuhusu Ben carson na usisahau kuwa yeye ndiye mwandishi wa vitabu pendwa vya "mikono itendayo maajabu " na cha sasa kijulikanacho kama "Lenga juu"