Jopelo John
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 317
- 71
- Thread starter
- #61
mzigo upo. anayehitaji betri mpya tuwasiliane. 0767379412.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado zipo wadau. piga simu 0767-379412TNT MABETRI BORA KABISA. KARIBU, 0767-379412.
kwa mdau ambaye ni mkweli anashauku ya kujua bei zetu angeshanipigia simu zamani na ningeshamtajia bei zetu na yeye angeshafanya maamuzi aende akanunue wapi,
halafu wapo wadau wawili wamesoma tangazo hili hili na wamenipigia simu na nimewauzia leo leo N70 na kwa bei poa kabisa.
karibu TNT betri imara na za kisasa. phone- 0767-379412.
poa mkuu ripoti tu. haina shida.Hili Tangazo halijakidhi vigezo vya JamiiForums, inabidi tuliripoti ili liondolewe. Tangazo ili liwe JF ni lazima liwe na bei. Soma hapa;
MWONGOZO: Zingatia haya unapoweka tangazo lako!
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani. Vigezo vya...www.jamiiforums.com
poa mkuu haina shida ripoti tu.Hili Tangazo halijakidhi vigezo vya JamiiForums, inabidi tuliripoti ili liondolewe. Tangazo ili liwe JF ni lazima liwe na bei. Soma hapa;
MWONGOZO: Zingatia haya unapoweka tangazo lako!
Ndugu wadau wa Jukwaa la Matangazo Madogo, Tunafarijika kuona mnaendelea kutumia vizuri jukwaa hili katika kufanya biashara. Hata hivyo, kuna changamoto kwa baadhi ya wenzetu kushindwa kuzingatia vigezo vya kuweka matangazo yao hivyo kupelekea matangazo yao kuondolewa hewani. Vigezo vya...www.jamiiforums.com
Somo makini sanaWADAU Wengi hawajui kwamba unaweza kupata vitu kwa bei nzuri hapa hapa Jamii forum. vilevile, karibuni. 0767-379412.
Busara iko hivi; kama MTU amekuuliza bei ya N40 weka bei huenda kuna mwingine anasubiri kujua bei na sio kuficha ficha kama biashara ipo wazi pia na bei ziwe wazi,, hata japan huweka bei zao za magari kulingana na gari lenyewe na ikitokea imepanda wanaweka ongezeko na kama imeshuka wanaweka punguzo sasa wewe unalazimisha upigiwe tuu na kufuatwa pm kwani kuna nini unataka kukificha kwenye biashara hii? Jitathimini na biashara yako mkuu ili uendelee ki biashara epuka kujibu vibaya mteja hata kama hanunui Leo anaweza akanunua kesho au akaelekeza mtu kununua hivyo amini kila mtu ni mteja wako ki namna Fulani ....bosi nipe namba yako ya simu nikupigie ili nikupe bei ya betri unayotaka. ukiona bei zetu hazilipi kwako sawa ni maamuzi yako na ndio maana nimeweka tangazo mtandaoni ili wadau wanipigie simu niwape habari za bei. kwahiyo nifuate chemba bosi. simu yangu 0767-379412. call me au nipe namba yako nikupigie tuongee nikupe bei ya betri zetu.
ninakuhakikishia bei zetu hazina tofauti sana na huko unakoenda kununua.
mimi sio dalali.
Busara iko hivi; kama MTU amekuuliza bei ya N40 weka bei huenda kuna mwingine anasubiri kujua bei na sio kuficha ficha kama biashara ipo wazi pia na bei ziwe wazi,, hata japan huweka bei zao za magari kulingana na gari lenyewe na ikitokea imepanda wanaweka ongezeko na kama imeshuka wanaweka punguzo sasa wewe unalazimisha upigiwe tuu na kufuatwa pm kwani kuna nini unataka kukificha kwenye biashara hii? Jitathimini na biashara yako mkuu ili uendelee ki biashara epuka kujibu vibaya mteja hata kama hanunui Leo anaweza akanunua kesho au akaelekeza mtu kununua hivyo amini kila mtu ni mteja wako ki namna Fulani ....
Mkuu labda niongeze sababu nyingine, nimeshatoa sababu za hapo awali, ila ngoja nitoe sababu nyingine, unajua kuna magent ambao tunawauzia betri zetu, sasa wakija kuona nimeweka price list hapa itakuwa ugomvi mkubwa wa kibiashara. sasa lazima nilinde maslahi ya kibiashara. kwahiyo kama unashida ya betri piga simu au tuma msg ntakupa bei, hata kama huna mpango wa kununua.
halafu sijamjibu mtu yeyote vibaya humu JF, Kuna wadau ambao nawafahamu ni magent wa betri zingine na wameniuliza humu humu lakini nimewajibu kawaida kabisa.
150,000 kwasasa. mwezi unaokuja bei itabadilika. maongezi mengine njoo tumalizane kwenye simu.N50 unauzaje??