Tunazo betri mpya zinaitwa TNT ni dry cell tunazo size zote ni nzuri

kwa mdau ambaye ni mkweli anashauku ya kujua bei zetu angeshanipigia simu zamani na ningeshamtajia bei zetu na yeye angeshafanya maamuzi aende akanunue wapi,
halafu wapo wadau wawili wamesoma tangazo hili hili na wamenipigia simu na nimewauzia leo leo N70 na kwa bei poa kabisa.
karibu TNT betri imara na za kisasa. phone- 0767-379412.

Hili Tangazo halijakidhi vigezo vya JamiiForums, inabidi tuliripoti ili liondolewe. Tangazo ili liwe JF ni lazima liwe na bei. Soma hapa;

 
Hili Tangazo halijakidhi vigezo vya JamiiForums, inabidi tuliripoti ili liondolewe. Tangazo ili liwe JF ni lazima liwe na bei. Soma hapa;

poa mkuu ripoti tu. haina shida.
 
Hili Tangazo halijakidhi vigezo vya JamiiForums, inabidi tuliripoti ili liondolewe. Tangazo ili liwe JF ni lazima liwe na bei. Soma hapa;

poa mkuu haina shida ripoti tu.
 
TNT BATTERIES KATIKA PICHA, JINSI ZILIVYO. MWENYE MAHITAJI 0767-379412
 

Attachments

  • IMG_20190903_101037.jpg
    IMG_20190903_101037.jpg
    176 KB · Views: 14
  • IMG_20190903_100753.jpg
    IMG_20190903_100753.jpg
    164.2 KB · Views: 12
ns40 mzigo mpya unaingia mwisho wa mwezi huu. wadau wanaweza kupiga simu.0767-379412
 
bosi nipe namba yako ya simu nikupigie ili nikupe bei ya betri unayotaka. ukiona bei zetu hazilipi kwako sawa ni maamuzi yako na ndio maana nimeweka tangazo mtandaoni ili wadau wanipigie simu niwape habari za bei. kwahiyo nifuate chemba bosi. simu yangu 0767-379412. call me au nipe namba yako nikupigie tuongee nikupe bei ya betri zetu.
ninakuhakikishia bei zetu hazina tofauti sana na huko unakoenda kununua.

mimi sio dalali.
Busara iko hivi; kama MTU amekuuliza bei ya N40 weka bei huenda kuna mwingine anasubiri kujua bei na sio kuficha ficha kama biashara ipo wazi pia na bei ziwe wazi,, hata japan huweka bei zao za magari kulingana na gari lenyewe na ikitokea imepanda wanaweka ongezeko na kama imeshuka wanaweka punguzo sasa wewe unalazimisha upigiwe tuu na kufuatwa pm kwani kuna nini unataka kukificha kwenye biashara hii? Jitathimini na biashara yako mkuu ili uendelee ki biashara epuka kujibu vibaya mteja hata kama hanunui Leo anaweza akanunua kesho au akaelekeza mtu kununua hivyo amini kila mtu ni mteja wako ki namna Fulani ....
 
Busara iko hivi; kama MTU amekuuliza bei ya N40 weka bei huenda kuna mwingine anasubiri kujua bei na sio kuficha ficha kama biashara ipo wazi pia na bei ziwe wazi,, hata japan huweka bei zao za magari kulingana na gari lenyewe na ikitokea imepanda wanaweka ongezeko na kama imeshuka wanaweka punguzo sasa wewe unalazimisha upigiwe tuu na kufuatwa pm kwani kuna nini unataka kukificha kwenye biashara hii? Jitathimini na biashara yako mkuu ili uendelee ki biashara epuka kujibu vibaya mteja hata kama hanunui Leo anaweza akanunua kesho au akaelekeza mtu kununua hivyo amini kila mtu ni mteja wako ki namna Fulani ....

Mkuu labda niongeze sababu nyingine, nimeshatoa sababu za hapo awali, ila ngoja nitoe sababu nyingine, unajua kuna magent ambao tunawauzia betri zetu, sasa wakija kuona nimeweka price list hapa itakuwa ugomvi mkubwa wa kibiashara. sasa lazima nilinde maslahi ya kibiashara. kwahiyo kama unashida ya betri piga simu au tuma msg ntakupa bei, hata kama huna mpango wa kununua.

halafu sijamjibu mtu yeyote vibaya humu JF, Kuna wadau ambao nawafahamu ni magent wa betri zingine na wameniuliza humu humu lakini nimewajibu kawaida kabisa.
 
Mkuu labda niongeze sababu nyingine, nimeshatoa sababu za hapo awali, ila ngoja nitoe sababu nyingine, unajua kuna magent ambao tunawauzia betri zetu, sasa wakija kuona nimeweka price list hapa itakuwa ugomvi mkubwa wa kibiashara. sasa lazima nilinde maslahi ya kibiashara. kwahiyo kama unashida ya betri piga simu au tuma msg ntakupa bei, hata kama huna mpango wa kununua.

halafu sijamjibu mtu yeyote vibaya humu JF, Kuna wadau ambao nawafahamu ni magent wa betri zingine na wameniuliza humu humu lakini nimewajibu kawaida kabisa.
 
wahitaji betri kwa bei nzuri, njoo nikuuzie upate betri bomba utakaa nayo mpaka utasahau. simu 0767-379412
 

Attachments

  • IMG_20190823_152218.jpg
    IMG_20190823_152218.jpg
    170.3 KB · Views: 15
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom