Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,595
- 225,194
Wigeee😂Wachaa
Wigeee😂Wachaa
Ogopa sanaaaa,mwanamke anakuita mdogo wangu wakati wewe unamuelewa. Haya mamboo acha tuu,inaumaaa. View attachment 2095098
Taifa linahitaji wadada 7 tu kama wewe tuufikie uchumi wa juuHapana, we can't afford to lose him, he is a rare gem. So wacha tu tutoe mahari wenyewe mambo yaende fasta
😄😄😄😄😄 moto motonihahahaha we peleka moto c wanajichanganya wenyewe? Peleka motoo mkuu,
Moto motoni mkuu 😄😄😄.. huenda ukanikuta mwanza.. jumamosi jioni naondoka kuelekea viunga vya hapoPeleka Moto tu mkuu tukitoka mererani tunaenda mwanza Dem wako Antonia wa cask nimwambiaje
Eeeh ngoja niwaache mtu na shemeji yakeShe is the best, there's no copy of her. Of course, not even a bad copy
Hii msupu imekaaje 🤣🤣🤣
Usiku wapi 😃😃.. nipo NDC mda huu namsubiri Karmanipo 255 lounge.karibu muda huu
mie enzi za ujana wangu,nilikua silazi damu totoz ikijaa ktk 18 zangu😄😄😄😄😄 moto motoni
Heeee!🙆Taifa linahitaji wadada 7 tu kama wewe tuufikie uchumi wa juu
Ulifaidi eehmie enzi za ujana wangu,nilikua silazi damu totoz ikijaa ktk 18 zangu
Ila kaka mtu inanoga zaidi😄😄😄😄 au anakuita mdogo mtu wakati umemkata gape kubwa tu pa umri 😃😃😃😃 anachomoa wire vizuri sanaaa.. 🙂🙂
🙄🙄🙄 inanogaje kwa kaka mtu tenaaaIla kaka mtu inanoga zaidi
AwwwwMambo mrembo kwa data nilizokisanya,, hypothesis yangu ya kuwa wewe ni mali safi sio null,,, unaonaje tumbariki anangisye na couple moja matata
Nnachozungumzia hapa ni appreciation dada mkuu ameiweka....that is priceless.Heeee!🙆
Unataka kweli wakulipie??
Unakuwa umekaangwa kisasaa hapoOgopa sanaaaa,mwanamke anakuita mdogo wangu wakati wewe unamuelewa. Haya mamboo acha tuu,inaumaaa. View attachment 2095098
Nikiwa MC sherehe itaisha asbhAwwww
Hizo data ulikusanya wapi? Jomoneeeeh c ungenidadisi mie mwenyew mbna ningekusadia ktk zoezi lako? Ukute sasa huko kuna sehemu umekosea ktk utafiti wako lol.
Afu kumbe nawee ni mtoto wa Anangisye? Mie nilijua uko chini ya taasisi ya mstaafu mwinyi pale karibu na Jangwani girls sec, nliona unapost sana mambo ya ktk taasisi ile. Kumbe nawee upo hapa opposite na mawasiliano tower?
Hebu tukutane PM bhas jomoneeeh, huenda ukawa mwaka wanguu huu.
mahondaw suala la mavazi na sare za harusi sitaki uniangushe.
Depal wee ndo mpambe wangu,
Chakorii kamati ya mapokezi itakufaa sana.
Lizzy mwenyeji wangu kuhusu kamati ya chakula fanya namna hapa.
Jack Palladino suala la vinywaji naomba ziwe za bei nafuu,
Saint Anne cc yafaa kuwa MC?
Karma mommah kamati ya ulinzi ni yakona nakuaminia.
Heaven Sent naomba mafundisho ya imani, malezi na maisha. c unajua ndoa sio lelemama.
mawardat mlongo music tafuta babu kubwaah.
Mshana Jr babuuh nadhan ndo msimamizi mkuu.
Satoh Hirosh kamati ya tahadhari na dharura hutaniangusha.
Wewe kijana wa hovyoo jina lako ngumu, suala la ukumbi na hotel ya kufanyia honeymoon ni lako, sitaki uniangushe hapo.
Na wengineo woteeeeeeeeeh. stay tuned mambo mazuri yanakuja hapa.
Hata ikiisha mchana wa siku ya pili ni sawa tyuuh.Nikiwa MC sherehe itaisha asbh
Ninavyoongea taratibu
Wedding ??? hyo ni giant leap from Andromeda to milkwayAwwww
Hizo data ulikusanya wapi? Jomoneeeeh c ungenidadisi mie mwenyew mbna ningekusadia ktk zoezi lako? Ukute sasa huko kuna sehemu umekosea ktk utafiti wako lol.
Afu kumbe nawee ni mtoto wa Anangisye? Mie nilijua uko chini ya taasisi ya mstaafu mwinyi pale karibu na Jangwani girls sec, nliona unapost sana mambo ya ktk taasisi ile. Kumbe nawee upo hapa opposite na mawasiliano tower?
Hebu tukutane PM bhas jomoneeeh, huenda ukawa mwaka wanguu huu.
mahondaw suala la mavazi na sare za harusi sitaki uniangushe.
Depal wee ndo mpambe wangu,
Chakorii kamati ya mapokezi itakufaa sana.
Lizzy mwenyeji wangu kuhusu kamati ya chakula fanya namna hapa.
Jack Palladino suala la vinywaji naomba ziwe za bei nafuu,
Saint Anne cc yafaa kuwa MC?
Karma mommah kamati ya ulinzi ni yakona nakuaminia.
Heaven Sent naomba mafundisho ya imani, malezi na maisha. c unajua ndoa sio lelemama.
mawardat mlongo music tafuta babu kubwaah.
Mshana Jr babuuh nadhan ndo msimamizi mkuu.
Satoh Hirosh kamati ya tahadhari na dharura hutaniangusha.
Wewe kijana wa hovyoo jina lako ngumu, suala la ukumbi na hotel ya kufanyia honeymoon ni lako, sitaki uniangushe hapo.
Na wengineo woteeeeeeeeeh. stay tuned mambo mazuri yanakuja hapa.
Data zimekusanywa by observation na unstructured interview,,, na hazijaniangushaAwwww
Hizo data ulikusanya wapi? Jomoneeeeh c ungenidadisi mie mwenyew mbna ningekusadia ktk zoezi lako? Ukute sasa huko kuna sehemu umekosea ktk utafiti wako lol.
Afu kumbe nawee ni mtoto wa Anangisye? Mie nilijua uko chini ya taasisi ya mstaafu mwinyi pale karibu na Jangwani girls sec, nliona unapost sana mambo ya ktk taasisi ile. Kumbe nawee upo hapa opposite na mawasiliano tower?
Hebu tukutane PM bhas jomoneeeh, huenda ukawa mwaka wanguu huu.
mahondaw suala la mavazi na sare za harusi sitaki uniangushe.
Depal wee ndo mpambe wangu,
Chakorii kamati ya mapokezi itakufaa sana.
Lizzy mwenyeji wangu kuhusu kamati ya chakula fanya namna hapa.
Jack Palladino suala la vinywaji naomba ziwe za bei nafuu,
Saint Anne cc yafaa kuwa MC?
Karma mommah kamati ya ulinzi ni yakona nakuaminia.
Heaven Sent naomba mafundisho ya imani, malezi na maisha. c unajua ndoa sio lelemama.
mawardat mlongo music tafuta babu kubwaah.
Mshana Jr babuuh nadhan ndo msimamizi mkuu.
Satoh Hirosh kamati ya tahadhari na dharura hutaniangusha.
Wewe kijana wa hovyoo jina lako ngumu, suala la ukumbi na hotel ya kufanyia honeymoon ni lako, sitaki uniangushe hapo.
Na wengineo woteeeeeeeeeh. stay tuned mambo mazuri yanakuja hapa.