Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 177,698
- 1,074,231
Asante Boss lady. Sijawahi kumiss deadline na naaminika sana. Japo ni makazi magumu lakini nshayazoea. Hii siku mbili tu namaliza japo deadline ni tarehe 20. Huwa napenda kuwapa mapema ili kama kuna marekebisho yanahitajika waseme. Kazi za wazungu inabidi uwe proper vinginevyo hamtaelewana!Ahaa kumbe! Pole sana namajukumu ya kazi mkuu take time umalize kazi asee!!