Selfika na JF: Snap it. Show it

"He who runs from God in the morning, will scarcely find Him the rest of the day". Kijana mwema, ukawe na siku yenye baraka tele; Mungu akuonekanie.

I have no other God but You
I have no other God but You
For You have done what no man has done
And You will do what no man can do.

I have no other God (I have no other God but You)
I have no other (I have no other God but You)
For You have done for me (You have done what no man has done)
That's why I know You will (You will do what no man can do)View attachment 2036820
The fear of the Lord prolongs life,
but the years of the wicked will be short.

The hope of the righteous brings joy,
but the expectation of the wicked will perish.

The way of the Lord is a stronghold to the blameless,but destruction to evildoers.
 
Ni furaha sana, unaanza shughuli zako na Mungu, na ghafla baada ya ibada yako na Mungu ya alfajiri.. unajikuta hofu yako mbele za Mungu inaongezaka ( imeongezeka) .. ( ghafla kuna aina maisha na aina ya dhambi unakuta unazichukia pindi hofu ya Mungu inapo kuingia kuongezeka), unajikuta sio yule wa jana.. ni rahaa sanaa..

Isaya 11:3
na furaha yake itakuwa katika kumcha BWANA; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;

Heaven Sent Saint Anne
SHIMBA YA BUYENZE
Extrovert Deeboyfrexh

View attachment 2036782
View attachment 2036783
View attachment 2036784
View attachment 2036785
mahondaw zingine hizo.. badae nikisogea mahala pa bundle la chuo nakuweka zingine mkuu
Asante sana mkuu lemme take them
 
20211208_104739.jpg
 
Ni furaha sana, unaanza shughuli zako na Mungu, na ghafla baada ya ibada yako na Mungu ya alfajiri.. unajikuta hofu yako mbele za Mungu inaongezaka ( imeongezeka) .. ( ghafla kuna aina maisha na aina ya dhambi unakuta unazichukia pindi hofu ya Mungu inapo kuingia kuongezeka), unajikuta sio yule wa jana.. ni rahaa sanaa..

Isaya 11:3
na furaha yake itakuwa katika kumcha BWANA; wala hatahukumu kwa kuyafuata ayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;

Heaven Sent Saint Anne
SHIMBA YA BUYENZE
Extrovert Deeboyfrexh

View attachment 2036782
View attachment 2036783
View attachment 2036784
View attachment 2036785
mahondaw zingine hizo.. badae nikisogea mahala pa bundle la chuo nakuweka zingine mkuu

This is my brother.

 
Back
Top Bottom