Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,285
- 83,684
'em beautiful eyesBlock is there jamani kwanini mwajipa tabu?
Nitawafinya wote kifuatacho View attachment 2036194
'em beautiful eyesBlock is there jamani kwanini mwajipa tabu?
Nitawafinya wote kifuatacho View attachment 2036194
Upo adi saiz. Au ushatokaKimara mwisho.
Huwa unatumia detox ipi mkuuInabidi tuandae detox for January
Aahh sivipendi laanaMkuu vinaleta usingizi balaaView attachment 2036214
Hivi wasukuma na ugali ni mapacha nini😂Kutakuwa na ugali au ni hayo maembe tu?
Tuanzie hapo kwanza
nishawai kimbia sehemu nilikuta ps zimeungana nimeesabu zishaenda 15Let me try this one....mambo ya wadada haya! View attachment 2036161
Beautiful eyes bila kuachilia dimpozi? Aachilie dimpozi ndo zitaendana vizuri na hizo "beautiful eyes"'em beautiful eyes
tuselfikeNendeni basi mkagombane
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
nishawai kimbia sehemu nilikuta ps zimeungana nimeesabu zishaenda 15
Shemeji anafaidi
Kaka nataka nijilipue@reymage unataka kumwambia nini huyu binti yetu!!
Buffet la wahenga tuu karibuniView attachment 2035250
Bila ugali kwa kweli mambo hayaendi. Si ajabu hata hiyo dinner ikawa ni ubwabwa tu. Endeleeni tu bageshiHivi wasukuma na ugali ni mapacha nini
Kwa sasa maembe tu, tunashushia na maji tukisubiri dinner
Naomba uni tagSawa
Soon
😂😂😂Bila ugali kwa kweli mambo hayaendi. Si ajabu hata hiyo dinner ikawa ni ubwabwa tu. Endeleeni tu bageshi
View attachment 2036230
Block is there jamani kwanini mwajipa tabu?
Nitawafinya wote kifuatacho View attachment 2036194
Zile kampeni zangu kwako sijui ziliishia wapi . Mambo vipi?Tuchangamshe meno
View attachment 2036204
Oooh! Thanks mai furendi...Sema nakukubali huwa una busara sana. Sijawahi ona mahali unatukana mtu humu hata akikukwaza vipi huwa unajitahidi kumjibu kistaarabu tu.
Kwa comment yake hiyo nina uhakika angelikuwa ni mtu mwingine asingeweza kuvumilia angelipuka kwa matusi na mjadala ndiyo ungekuwa mkubwa zaidi.
Binafsi huwa najifunza sana kuwa na that type of attitude na nikifanikiwa hilo naamini nitakuwa mtu mwingine kabisa. I hope hii ndiyo attitude uko nayo hata in real life.