Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 6,850
- 21,520
Wewe tu unanilet down zipo za kutosha kwaajili yakoNaomba
Wewe tu unanilet down zipo za kutosha kwaajili yakoNaomba
nimecheka sana, hadi mbavu zinauma, ko hayo yote unayajua? Tena navalia na kijora changu pambeeee naenda kusasambua had nyonga zijute kukaa kiunoni kwangu
Afu mie sio mgomvi wala mkorofi, km kweli wee unaona sawia, afu sipendi kuzungumzia hilo suala mahali pasipohusika, tatizo ni hao straight bubu wakiona Id yangu wanahemkwa, sasa wakinichokoza sinaga moyo wa uvimilivu mie, nalianzisha na mie muda huo huo.
Huu uzi sitoki kamweee, na km unategemea nitatoka basi utasubiri sana, . Km huwa mnanipanikisha ili nitoke thubutuuuh mjipange physiological, maana ndo kwanza mabegi nimeyatua hapa
Hebu relaaaaaax wee mzeee, unajua unatakiwa usijihusishe na stress na mawazo yasiyo ya lazima. Furahia huo uzee.
Nitumie kwenye kibus 🤣Wewe tu unanilet down zipo za kutosha kwaajili yako
Leo mpaka dimpozi zimefichwa. Kulikoni?Chat n picha
View attachment 2036101
Bora nizilete mwenyeweNitumie kwenye kibus
Nimeziziba babu 🤣Leo mpaka dimpozi zimefichwa. Kulikoni?
Upo vzr sana mkuu!
Haya niletee 😀Bora nizilete mwenyewe
The coming weekend nitakua pande hizo...Haya niletee
Nimeziziba 🤣 zilikuwa zinanifanya nashindwa hata kukasirika..Fanya wepesi mdogo wangu kofia isogeze kwa juu kidogo dimpoziii
Kwema braza E. Niaje?Kwema
Usijifanyie hivyo jaman 🤣Ngoja nitafute mtaalamu wa IT anitolee likofia hilo
Check DMJackies
Jiselife basi
Hahaha owkey.!Check DM
Wanatuchosha wasomaji wa kimya kimya woiiiNendeni basi mkagombane
Mnatusumbua kwenye uzi wetu.
Wale wote wenye vita nashauri fungueni uzi mkazinyuke huko,,,vita yenu msipiganie selfika.
Resistance zenu kazifungulieni uzi.
TesterUnabadilisha tu vileo
Selfika madam achana na hizo mada zisizo na kichwa wala miguuWanatuchosha wasomaji wa kimya kimya woiii