Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,945
- 9,497
dada umeumbwa ukaumbika,
una umbo kama la nyigu, mtoto umekatika,
yaani nikipita na wewe mtaani nakutanguliza mbele kwanza niwakomeshe mabishoo, halafu huku naangalia kiuno kinavyocheza,
dada umeumbwa ukaumbika,
wanaoshikilia namba mpaka sasa ni:Naruhusiwa kwenda kuweka hii picha kwenye frem
😁😁Naruhusiwa kwenda kuweka hii picha kwenye frem
Labda kimeo changu hakioneshi picha zako
Duh pole pia chukua protector ngumu that durable, nina protector ninayo aiseh sio rahisi kupata crakes, usichukue zile zinauzwa kila kona na kwa bei cheap, tafuta zile nzuri na uniqueSaivi nafikiria kuhamia kwenye OPPO nione maana hapa nshakaa sana saivi nina note 8 ishaweke crakes vimistari viwili hata sijaiangusha.sijui ilijibana na funguo mfukoni au coins
Na umeshtua kweli kweli maana ungeamua kukiwasha kbs nafikiri jf ingekuwa inatetemeka mida hiiKingi? Hapana.
Nilishtua tu.
Vitu vya moto moto safi lizzy kama lizzy, sasa mwambie uncle wangu next week namletea ball na jersey kabisa kuna umuhimu aanze mazoezi haraka
Dah long time mamito priscallia upo mama, umependeza sana
Mbinu zako huwa nazichukua na kuzifanyia maboresho, wazee wa fursa fursaVitu vya moto moto safi lizzy kama lizzy, sasa mwambie uncle wangu next week namletea ball na jersey kabisa kuna umuhimu aanze mazoezi haraka
Mimi labda wewe mkulungwa mwenzangu tunakokotana mdogo mdogo na yowe la shangwe ,tukiulizwa na wambea tunawajibu tuko tunacheza tuNyooo wakutenguliwa nyonga utakua wewe?
umenifanya nicheke gafla mshenzi weweMimi labda wewe mkulungwa mwenzangu tunakokotana mdogo mdogo na yowe la shangwe ,tukiulizwa na wambea tunawajibu tuko tunacheza tu
Sawa tunakuona Basila mwanukuzi upo vizurwanaoshikilia namba mpaka sasa ni:
Depal
mawardat
Lizzy
Priscallia
shemeji yenu
humu jf hakuna wa kuwafikia hawa, nasemaje kama yupo ajitokeze
Hapana neno unaweza itumia tuNaruhusiwa kwenda kuweka hii picha kwenye frem
Unenifurahisha unaonekana ni mcheshi sana wewe kakadada umeumbwa ukaumbika,
una umbo kama la nyigu, mtoto umekatika,
yaani nikipita na wewe mtaani nakutanguliza mbele kwanza niwakomeshe mabishoo, halafu huku naangalia kiuno kinavyocheza,
Unaikosaje thawabu kwa uungwana kama huu kwa mfano?! Big upHapana neno unaweza itumia tu