Solix
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 1,173
- 2,955
Block T kwa nyuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Block T kwa nyuma.
Nitumie mwayaView attachment 1937584
Nikutumie?
hahahahhahahahaaha block la wajasi OgBlock T kwa nyuma.
Hakuna sehemu nimeleta fujo,labda kama wewe umezitafsiri kama fujo.Halafu unachofanya ni kuleta fujo kwa sababu uliwahi kuleta hoja hii kwenye majukwaa husika tarehe 06/09/2021 nikakujibu ukashindwa kujenga hoja na ukaingia mitini bila ya kujibu chochote halafu leo unaleta hoja hiyohiyo kwenye jukwaa ambalo halihusiki!Hizi ni fujo.
View attachment 1937403
Naqubhali joh.
mim nimemaliza 2015Naqubhali joh.
Ktambo sana nlipitapita apo
Kutafuta michango ya mada za siasa na kupeleka hoja za siasa kwenye mada ambazo siyo za siasa ni kuleta fujo.Hakuna sehemu nimeleta fujo,labda kama wewe umezitafsiri kama fujo.
Kwani hupati notifications?Unapomquote mtu kwenye uzi fulani ni vyema ukawa committed kujibu hoja zake,tofauti na hapo unakuwa unampotezea muda wake kujibu hoja ambazo hazijibiwi.Siyo muda wote nitafwatilia uzi mmoja mkuu,,kuna nyuzi nyingi zinajifukia navkujifukia..
Kutokujibu haimaanishi mtu ameshindwa.
Unapangiwa cha kuandika kwa sababu unarudia kuandika hoja za siasa kwenye nyuzi ambazo siyo za siasa na ukijibiwa hoja hizo kwenye mada za siasa hujibu.Kwenye mazingira kama haya ni lazima upangiwe utaratibu wa jinsi ya kuandika na jinsi ya kujibu hoja.Na kurudia kuandika ni uamuzi wa mtu, huwezi mpangia cha kuandika.
Aisee! It's not fair wallah!
Naomba moja
Hi Lizzy.
We mzuri aisee,napenda sana shorthair.
Naomba moja
Kila mtu ana haki ya kucomment anachotaka na comment anayotaka bila kujali inahusu Nini,Kutafuta michango ya mada za siasa na kupeleka hoja za siasa kwenye mada ambazo siyo za siasa ni kuleta fujo.
Kwani hupati notifications?Unapomquote mtu kwenye uzi fulani ni vyema ukawa committed kujibu hoja zake,tofauti na hapo unakuwa unampotezea muda wake kujibu hoja ambazo hazijibiwi.
Unapangiwa cha kuandika kwa sababu unarudia kuandika hoja za siasa kwenye nyuzi ambazo siyo za siasa na ukijibiwa hoja hizo kwenye mada za siasa hujibu.Kwenye mazingira kama haya ni lazima upangiwe utaratibu wa jinsi ya kuandika na jinsi ya kujibu hoja.