Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,127
- 11,098
sawa dogo kila mtu aishi maisha yake Ila unayo nafasi ya kubadilika Kama case yako haihusiani na hormonal imbalances Ila Kama umejifunza tu tafadhari dogo badilika muombe na mungu pia na usione ufahari Sana Labda ungekua nchi za mabeberu huku afrika hio haikubaliki katika utamaduni wetuSasa km unakemea hilo na adhabu zake unazijua ni wazi ukaanza kutekeleza kwa vitendo, sio maneno tupu km serikali ya Tz inapinga kwa mdomo huku vitendo ni .
Mbona wapo wengi wanaojitangaza wazi wazi na sijawahi ona wakipewa hizo adhabu. Au mie ndio sielew?
Mf, James Delicious anajiweka wazi wazi na alishatoa maudhui ya hilo suala hadharani, kilichofuata kukamatwa na kuwekwa rumande siku 3 katoka nje yupo uraiani anaendelea na maisha yake,
Akaweka tena maudhui hadharan, akaamriwa fine 5Ml zikatolewa case kwisha, sasa hizo adhabu unazozisema wee kutoka wapi? Km kutoka ktk vitabu vya dini mbona sijawahi ona dini au dhehebu lolote kuwahi kutekeleza hizo adhabu, ingali wapo wanao onesha wazi wazi suala hili hadharani.
Ni muda sasa jamii iwe buzzy na mambo ya msingi na yenye tija ktk kuleta maendeleo ya Taifa kwa ujumla, na sio kuwa buzzy kupinga suala la rasilimali ya mtu binafsi, tena ikiwa hawawezi kutatua tatizo hilo kamwe, ni upotevu wa muda.
Live ur own lyf, n mynd ur own bznes.
Tunaishi mara 1 tyuuh..........