Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,285
- 83,683
Mbona Dar - Dodoma hawakimbiiMadereva walishazizoea
Mungu pia anatulinda,pamoja na kona zote zile ila gari za Dom zinakimbia jamani.
Mbona Dar - Dodoma hawakimbiiMadereva walishazizoea
Mungu pia anatulinda,pamoja na kona zote zile ila gari za Dom zinakimbia jamani.
Hahaha kweli lugha tatukalumbu your welcome soda iliyochangamka
lugha tatu
Happy New Year Bro.. Umemisika hapa.I see them million letters clique repping too. Anyway, ya'll be good.
You are missed!!I see them million letters clique repping too. Anyway, ya'll be good.
Namaanisha kukimbia kwenye zile kona.Mbona Dar - Dodoma hawakimbii
Mkuu, jamaa wa kipare anaomba kukuvalisha pete (anaomba uwe wake rasmi), si eti mkuu?nashangaa unaumia wee zaid kuliko hat hao wazaz wangu.
Kwahiyo ikiwa ni hasara unapungukiwa na kuongezeka kipi?
Stress zako za maisha ndo unileteee mie? Poleeeeeeeh
Enjoy na hii engagement. View attachment 1679249
mkuu msalimie forever....Me and forever View attachment 1679306
Ni kweli, ingawa leo nimeona gari moja limechochola.Madereva walishazizoea
Mungu pia anatulinda,pamoja na kona zote zile ila gari za Dom zinakimbia jamani.
kaka tuwalinde watoto wetu wa kiume (kama unae)Mkuu, jamaa wa kipare anaomba kukuvalisha pete (anaomba uwe wake rasmi), si eti mkuu?
Pole yaoNi kweli, ingawa leo nimeona gari moja limechochola.
Na hilo ndiyo tatizo lilipo.Pole yao
Ila huwa wanakimbia mno,hata mshipa wa woga hawana
Ni gari ndogo au bus??Na hilo ndiyo tatizo lilipo.
Mie kwa mpare mbona tayari Pete nilivishwa, picha niliweka mbona hapa, tazama huko juu, ukweni nilienda huko SAME, likizo ya mwezi March nampeleka kwetu Nyanda za juu Kusini.Mkuu, jamaa wa kipare anaomba kukuvalisha pete (anaomba uwe wake rasmi), si eti mkuu?
unatia kinyaaa....eti pete nilivishwaMie kwa mpare mbona tayari Pete nilivishwa, picha niliweka mbona hapa, tazama huko juu, ukweni nilienda huko SAME, likizo ya mwezi March nampeleka kwetu Nyanda za juu Kusini.
Na tunaishi Pa1, maisha yanaenda full burudaaaaani.
Hisia ni dhamana ya muhusika, hapaswi kuingiliwa wala kuzuiliwa.
Zimefika mkuu.mkuu msalimie forever....
Mmmmmhhiyo sentence ya pili,
Mmmmmmh
nashangaa unaumia wee zaid kuliko hat hao wazaz wangu.
Kwahiyo ikiwa ni hasara unapungukiwa na kuongezeka kipi?
Stress zako za maisha ndo unileteee mie? Poleeeeeeeh
Enjoy na hii engagement. View attachment 1679249