Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,305
- 83,739
HahahaUliza kiatu....View attachment 1675531
Naupenda huo wimbo
HahahaUliza kiatu....View attachment 1675531
Umebeba ujumbe sana ...Hahaha
Naupenda huo wimbo
KarmaHahaha
Naupenda huo wimbo
Hbd kwakeHappy Birthday Dear Mom, Espy.
You Know You Mean A Lot To Me, Thank You For Being A Friend, A Sister, And A Mother To Me.
May God Keep You For Us And Fulfill All Your Wishes And Desires, And May You Become A Blessing To All Around You.
You Are The Best, I Love You To The Moon And Back Sweetheart.
Mbona kila siku nakuambia
🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍Happiest birthday momma Espy. Ukakue, ukastawi, ukaongezeke na kuenea sana.
Kumbukumbu la Torati 28:3-13
3 Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.
4 Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na uzao wa nchi yako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, maongeo ya ng’ombe wako, na wadogo wa kondoo zako.
5 Litabarikiwa kapu lako, na chombo chako cha kukandia unga.
6 Utabarikiwa uingiapo, utabarikiwa na utokapo.
7 BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
8 BWANA ataiamuru baraka ije juu yako katika ghala zako, na mambo yote utakayotia mkono wako; naye atakubarikia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako.
9 BWANA atakuweka uwe taifa takatifu kwake, kama alivyokuapia; utakaposhika maagizo ya BWANA, Mungu wako, na kutembea katika njia zake.
10 Na mataifa yote ya duniani watakuona umeitwa kwa jina la BWANA, nao watakuwa na hofu kwako.
11 BWANA atakufanya uwe na wingi wa uheri, katika uzao wa tumbo lako, na uzao wa wanyama wako wa mifugo, na uzao wa nchi yako, katika nchi BWANA aliyowaapia baba zako kwamba atakupa.
12 Atakufunulia BWANA hazina yake nzuri, nayo ni mbingu, kwa kutoa mvua ya nchi yako kwa wakati wake, na kwa kubarikia kazi yote ya mkono wako; nawe utakopesha mataifa mengi, wala hutakopa wewe.
13 BWANA atakufanya kuwa kichwa, wala si mkia; nawe utakuwa juu tu, wala huwi chini; utakapoyasikiza maagizo ya BWANA, Mungu wako, nikuagizayo hivi leo, kuyaangalia na kufanya;
Love youuuuuuuuuu and have the bestest of all.
🙏🙏🙏🙏😍😍😍Happy Birthday Dear Mom, Espy.
You Know You Mean A Lot To Me, Thank You For Being A Friend, A Sister, And A Mother To Me.
May God Keep You For Us And Fulfill All Your Wishes And Desires, And May You Become A Blessing To All Around You.
You Are The Best, I Love You To The Moon And Back Sweetheart.
Hahaha
Naupenda huo wimbo
Ndiyo umeanza mwaka mpya na utakatifu?
Ndiyo umeanza mwaka mpya na utakatifu?
Mbona siku zote!!
Acha kabisa my dear, kiranga chote komoooKwa kweli nanhii inakunyoosha, adabu zote zimerudi
Mchumba wangu alishasikia
Naam Bhageshi
Nasema tax nilipeAsk my shoes, ask my shoes
Uliza kiatu, uliza kiatu
Umekoma ukakomazikaAcha kabisa my dear, kiranga chote komooo
Nasema tax nilipe
Rent mi nikupe
Nywele zisongwe
Mombasa si twende
Mapenzi nikupe
Mpaka we uridhike
Why why why why
Ohh why
Miss u more honey..we mtoto laini sna utaweza kuogelea kweli🤪🤪 nitakuchukua siku nyingineKipendhiiiiiiiiih uwage unanchukua bas na wee. Mmmh unakula raha peke yako lol.
Miss u moaaah