Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,544
- 225,108
Yule muongo tukd hajakupaga?
Nipe wewe mdomo wangu
Nisurprise tu,baadaye utaichukua tena ukitaka
Yule muongo tukd hajakupaga?
Kikubwa uhaiDaaah .. magepu haya. Kikubwa pumzi tu kipenzi
😀😀 unataka yakupigia picha kama huyoYule muongo tu
Nipe wewe mdomo wangu
Nisurprise tu,baadaye utaichukua tena ukitaka
Nataka nishike tuunataka yakupigia picha kama huyo
Kwema sana brother, sijui wewe master...Safi sana mkuu.! This is kinda of parenting nitatumia kwa dogo ..! Hakuna ishu kubembelezana sana. Demokrasia ikishindwa dola inaingia.
Broda, kwema huko ??
Anne usisahau kuniletea bangi ya malawi ntashukuru sana.
Anne usisahau kuniletea bangi ya malawi ntashukuru sana.
@Makiseo unaitwa.Mzee baba niaje..! Aisee kwanza ulifanya vyema sana na ni jambo la kistarabu sana kutomla mke wa mtu. Haya mambo bhana unaweza ukafurahia kutafuna mke wa mtu ila huwazii kama ungekuwa ni wewe mkeo analiwa ingekuwaje ??
Juzi kati nilikuwa nachati na manzi yuko kwenye mahusiano na mwana mmoja na tayari walishaanza kufanya zile procedures za kukabidhiwa mke. Manzi nilimkaza ila nimekuja kukaa nikawaza kabisa huu ni ujinga ambao sitakiwi kuufanya maana kugongewa kunauma sana Braza.!
Nimepunguza mawasiliano naye na baadae naacha kabisa kuwasikiana naye labda kwa jambo la msingi sana tofauti na hapo sitaki ukaribu na mke wa mtu.
Alfu swali ambalo kama atalijibu ndada itapendeza sana, hivi inakuwaje mpaka unaenda kuingia kwenye hatua kufunga ndoa bado unaendeleza ukaribu na mtu ambaye unajua wazi kabisa mtakapo ishia ni kulana na pengine inaweza kuharibu ndoa yako mbeleni..!??? Kuba kuwapo nini hasa ??
Kama unampenda mwana yule mwingine si unakuwa open tu na hata ndoa isifungwe..! Na ukafunga ndoa na mtu ambaye unaweza kuwa katika ndoa na ukawa pamoja strong connection.
@Makasie
financial services na wadada wengine ..! Nitafurahi kusikia chochote kutoka kwenu.
Msalimie mwenyeji mwambiyee mwambie nampenda sana.Wa kishua hivi vitu itakuwa hamvijui
Ukitoka hapo huna haja ya kufanya zoezi.. hizo ni push ups tosha
Mwenyeji wangu yupo vzr hatari
View attachment 1637660View attachment 1637662View attachment 1637663View attachment 1637664
Nikajaribu na Mimi
Ndiyo
SawaMsalimie mwenyeji mwambiyee mwambie nampenda sana.
Nimejaribu kurudia kusoma mara mbili mbili nielewe nimeshindwa.. ameeleza nini kwani Mdogo wangu?
Mimi nimeelewa hapo tu alipokutag ndio maana nikakuitaNimejaribu kurudia kusoma mara mbili mbili nielewe nimeshindwa.. ameeleza nini kwani Mdogo wangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maeneo bado maji mnafuata kuchota ng'ambo ya pili, na bado mkaipa green fiveWa kishua hivi vitu itakuwa hamvijui
Ukitoka hapo huna haja ya kufanya zoezi.. hizo ni push ups tosha
Mwenyeji wangu yupo vzr hatari
View attachment 1637660View attachment 1637662View attachment 1637663View attachment 1637664
Nikajaribu na Mimi