@Sakayo kama hivi...
Kaka shemeji umeniita?
Maa weee! Nadhani kakutana na nguvu ya Yesu Kristo.Wewe si huyu kweli..?😎😎
AiseeeeUnafanana mademu wenye akili za maisha
Kitatokea nini rafiki?Tunatofautiana sana, wife wangu hawezi kupiga hiyo picha awe peke yake au beach hata iwe ufukwe wa wapi hawezi kwa vile anajua kitakachotokea baada ya hapo.
KipigoKitatokea nini rafiki?
Hivyo mnavitolea wapi sasa jamani@Sakayo kama hivi...
Hivyo mnavitolea wapi sasa jamani
Kitatokea nini rafiki?
Hii hapaHahahaha, nishatupia mie pia nasubiri yako
Okay dear one...Oooh
Nifundishe na mimi jamani