lugunda junior
Member
- Jun 30, 2020
- 17
- 4
Nilikuwa naulizia hivi list ya selected students from NACTE in health courses yata tangazwa lini???
Kwa mujibu wa kalenda yao ni 28/08/2020Nilikuwa naulizia hivi list ya selected students from NACTE in health courses yata tangazwa lini???
Ni kweli mzee mwenzangu for me too it shows like that. "the system closed"Kwa mujibu wa kalenda yao ni 28/08/2020
Ingawa hadi sasa hivi Asubuhii 06 : 40 AM mfumo uko clossed.
uwe na subira, zikitoka utajua tu.nenda website ya NACTE kuna kalenda ya kila kitu.....Nilikuwa naulizia hivi list ya selected students from NACTE in health courses yata tangazwa lini???
Selection Bado, sasa hizo criteria za 1na two umetoa wapi??uwe na subira, zikitoka utajua tu.nenda website ya NACTE kuna kalenda ya kila kitu.....
BUT KAMA HUNA DIV 1 VYUO VYA SERIKALI CLINICAL MEDICINE HUWEZI KUPATA.... UKIBAHATISHA DIV 2 YA MWANZONI UNAWEZA KUPATA
Ikiwa hivyo, unahisi utakuwa nje ya vigezo🤔?Selection Bado, sasa hizo criteria za 1na two umetoa wapi??
Swali niIkiwa hivyo, unahisi utakuwa nje ya vigezo?
Mh! nyie vijana muwe mnasoma between lines. Nimemjibu kwa vyuo vya serikali, uzoefu wangu kwa miaka 3 unanionyesha hivyo- Kibaga, Lugalo and the like. Vya binafsi hakuna shida...Selection Bado, sasa hizo criteria za 1na two umetoa wapi??
Sio kila sehemu na kila wakatiMh! nyie vijana muwe mnasoma between lines. Nimemjibu kwa vyuo vya serikali, uzoefu wangu kwa miaka 3 unanionyesha hivyo- Kibaga, Lugalo and the like. Vya binafsi hakuna shida...
Swali lako linaonyesha kila dalili ya kuwa kwenye hatari, ikiwa vigezo alivyokwambia jamaa hapo juu 🖕 vitazingatiwa.Alichokisema jamaa Ni sahihi kabisa, hasa katika vyuo vya serikali, na hiyo ni kwasababu competition Ni kubwa.Ukiniomba ushahidi wa kina siwezi kukupa, zaidi ya kuwa na uzoefu wa zaid ya Miaka 5.Swali ni
Source ya Hypothesis yake
Ila huwezi kuthibitisha..???Swali lako linaonyesha kila dalili ya kuwa kwenye hatari, ikiwa vigezo alivyokwambia jamaa hapo juu vitazingatiwa.Alichokisema jamaa Ni sahihi kabisa, hasa katika vyuo vya serikali, na hiyo ni kwasababu competition Ni kubwa.Ukiniomba ushahidi wa kina siwezi kukupa, zaidi ya kuwa na uzoefu wa zaid ya Miaka 5.
NB: UKIWA NA DIVISION TWO NZURI,UNAWEZA KUCHAGULIWA.
Unamaanisha aliehitimu advanced level, au formfive🤔? Sijakuelewa mkuu..!Ila huwezi kuthibitisha..???
....F5 anaenda mwenye points ghan??
Ikiwa wanachaguliwa CO ni dvsn 1 and 2Unamaanisha aliehitimu advanced level, au formfive? Sijakuelewa mkuu..!
Walisema 28/8/2020Nilikuwa naulizia hivi list ya selected students from NACTE in health courses yata tangazwa lini???
Mfumo ushaana ku shackWalisema 28/8/2020
Ila naona imepita kimya,nafikiri watakuwa wameenda uzinduzi wa kampeni.
😂😂 Unataka kusema, waliopata chini ya division one & two, huko ndo sehemu yao ya kiponea.? Tena course za afya? Anyway ngoja nikujibu swali lako kiufupi kabisa.Ikiwa wanachaguliwa CO ni dvsn 1 and 2
Je walichaguliwa F5 ni wenye sifa ghan..??
Je mhitimu wa F6 akitaka Ordinary Diploma inamuajeee???
Ubongo ?????Unataka kusema, waliopata chini ya division one & two, huko ndo sehemu yao ya kiponea.? Tena course za afya? Anyway ngoja nikujibu swali lako kiufupi kabisa.
Waliopata one & two, sio wote waanakuwa na interest za kwenda advanced level, na hao ndo wanaohitajika.Incase mwanafunzi umefeli utaenda course nyingine zinazoendana na ubongo wako, sio afya..!
Nilikuwa naulizia hivi list ya selected students from NACTE in health courses yata tangazwa lini???