Selection za chuo kwa first round zitachukua muda gani kutoka?

Watanzania bhana kwa kupenda kuiga ni noooumaaa hahahaha ila na mim ni Mtanzania so "SWALI ZURI SANA" bwana mdogo bravooooooo
 
Actually huchukua muda wa chini ya siku 5 na si zaidi ya hapo. Mana majina ya round ya kwanza yanatakiwa yawahi kutoka ili kutoa muda wa wale wanaofanya second round but pia kuruhusu muda kwa ajili ya mchakato wa HESLB kuprocess majina ya waliopata mkopo na kiasi walichopata. Ikumbukwe HESLB hawawezi toa majina ya waliopata mkopo bila kujua ni idadi ipi wamepata vyuo na kiasi cha ada wanachotakiwa kulipa katika vyuo husika. Hii ikiambatana na baadhi ya vyuo kufunguliwa mwishoni wa mwezi wa 9 na mwanzoni mwa mwezi wa 10.

Hivyo tuwe na subira mpaka kufikia tarehe 5 tutakua tushajua watu tunakwenda.

Niwatakie kheri kwa wale watakaochaguliwa kujiunga na elimu ya juu. Mjipange kwa changamoto kadha wa kadha za kuelekea mafanikio ya kupata elimu yenu.

Ahsanteni.
 
Actually huchukua muda wa chini ya siku 5 na si zaidi ya hapo. Mana majina ya round ya kwanza yanatakiwa yawahi kutoka ili kutoa muda wa wale wanaofanya second round but pia kuruhusu muda kwa ajili ya mchakato wa HESLB kuprocess majina ya waliopata mkopo na kiasi walichopata. Ikumbukwe HESLB hawawezi toa majina ya waliopata mkopo bila kujua ni idadi ipi wamepata vyuo na kiasi cha ada wanachotakiwa kulipa katika vyuo husika. Hii ikiambatana na baadhi ya vyuo kufunguliwa mwishoni wa mwezi wa 9 na mwanzoni mwa mwezi wa 10.

Hivyo tuwe na subira mpaka kufikia tarehe 5 tutakua tushajua watu tunakwenda.

Niwatakie kheri kwa wale watakaochaguliwa kujiunga na elimu ya juu. Mjipange kwa changamoto kadha wa kadha za kuelekea mafanikio ya kupata elimu yenu.

Ahsanteni.
Hv mwaka jana first round ilitoka afta mda gan baada ya kufunga dirisha?
 
mwaka jana ndo ilikuwa ivo labda mwaka huu applicants wachache
Hujakosea mkuu mwaka huu applicants n wachache ukilinganisha na mwaka jana.
Lakn pia tatzo lipo kwa tcu wangetoa mda maalum ambao utawawezesha wadau weng kua tayar juu ya jambo hilo.
Kulko hiv sasa kulvyokua na ukakas, nakubaliana na wewe juu ya kiachiwa baada ya wik chache lakn huyu wa baada ya cku tano ananipa was was.
 
Hujakosea mkuu mwaka huu applicants n wachache ukilinganisha na mwaka jana.
Lakn pia tatzo lipo kwa tcu wangetoa mda maalum ambao utawawezesha wadau weng kua tayar juu ya jambo hilo.
Kulko hiv sasa kulvyokua na ukakas, nakubaliana na wewe juu ya kiachiwa baada ya wik chache lakn huyu wa baada ya cku tano ananipa was was.
tusubiri, nilikuwa najua labda zile namba zitakuja halisi baada ya deadline manake ziliacha kubadilika nyingine trh za 10 hv nikajua ni shida kama ya mwaka jana kwamba mtuu baada ya deadline ndo anajua wapo 500 akati alioneshwa ni 300, ila mpaka leo hazijachange, sidhani kama zile number ni halisi
 
tusubiri, nilikuwa najua labda zile namba zitakuja halisi baada ya deadline manake ziliacha kubadilika nyingine trh za 10 hv nikajua ni shida kama ya mwaka jana kwamba mtuu baada ya deadline ndo anajua wapo 500 akati alioneshwa ni 300, ila mpaka leo hazijachange, sidhani kama zile number ni halisi
Ule n mfumo maalum mkuu lazma kutakua na ukwel ndan yake.
 
Actually huchukua muda wa chini ya siku 5 na si zaidi ya hapo. Mana majina ya round ya kwanza yanatakiwa yawahi kutoka ili kutoa muda wa wale wanaofanya second round but pia kuruhusu muda kwa ajili ya mchakato wa HESLB kuprocess majina ya waliopata mkopo na kiasi walichopata. Ikumbukwe HESLB hawawezi toa majina ya waliopata mkopo bila kujua ni idadi ipi wamepata vyuo na kiasi cha ada wanachotakiwa kulipa katika vyuo husika. Hii ikiambatana na baadhi ya vyuo kufunguliwa mwishoni wa mwezi wa 9 na mwanzoni mwa mwezi wa 10.

Hivyo tuwe na subira mpaka kufikia tarehe 5 tutakua tushajua watu tunakwenda.

Niwatakie kheri kwa wale watakaochaguliwa kujiunga na elimu ya juu. Mjipange kwa changamoto kadha wa kadha za kuelekea mafanikio ya kupata elimu yenu.

Ahsanteni.

duh umejibu vizuri ad nmeona kama nmesha chaguliwa asee Eb ngoja tuvute subira may b TCU walkua wana subiria ju lipTwe ndo watu chague lishapatwa sasa kaz kwao....
 
Back
Top Bottom