Sekta ya ualimu iwe lazima kwa kila mhitimu wa chuo kikuu

Mbona hujaishauri serikali iwaajiri haraka sana waliopo mtaani kwanza?
Banch 2 za wahitimu zipo tu mtaani halafu unakuja na mawazo ya watu wasio na taaluma ya kazi kupewa hiyo kazi.
Umesha sahau majanga ya walimu wa voda fasta au ulikuwa bado shule ya msingi?
Kuna uhaba wa madaktari, tuwaachukue waliosomea udaktari wa mifugo wazibe pengo lao wakati tunaweka mambo sawa ya kuwapata madaktari. Poor me!
 
we hujawahi kufundishwa na walimu wazungu?? kuna wakati tulikuwa na walimu wakujitolea wanajiita volunteers wakati nipo moro sec tuliwahi kuwa naye akifundisha mathematics...
sijawahifundishwa nao ktk vidato, labda chuo. ila hata sasa nahisi wapo, maana mwezi wa sita walikua wamarekani na taarifa zikazagaa kila kona. ila yote na yote hatuna uhaba wa walimu, ndio maana serikali haiajiri kwa miaka miwili sasa
 
Mbona hujaishauri serikali iwaajiri haraka sana waliopo mtaani kwanza?
Banch 2 za wahitimu zipo tu mtaani halafu unakuja na mawazo ya watu wasio na taaluma ya kazi kupewa hiyo kazi.
kweli kabisa, mtu anakuja na mawazo ya kuajiri wasio na taaluma husika, wakati wenye taaluma husika wapo mtaani na hawajaajiriwa. ni vyema angeanza kushauri waajiriwe kwanza hao wenye taaluma, kisha ndio apendekeze mambo mengine ili kuboresha. ila maboresho yaheshimu taaluma bya ualimu.

Kuna uhaba wa madaktari, tuwaachukue waliosomea udaktari wa mifugo wazibe pengo lao wakati tunaweka mambo sawa ya kuwapata madaktari. Poor me!
tena mimi naona ungeandika kua, kuna uhaba wa madakatari wa binadamu. alafu mtu anapendekeza madakari wa mifugo waajiriwe kutibu watu mahospitalini, wakati madaktari wa binadamu wapo mtaani na hawajaajiriwa. ajabu sana!
 
Kutokana na uhaba wa walimu uliokithiri katika maeneo mengi nchini kwetu haswa walimu wa hisabati na sayansi, nilikuwa naliomba bunge tukufu lije na sheria itayowafanya wahitimu wote wa vyuo bila kujali fani walizosomea kuripoti katika shule za serikali na kufundisha kwa miaka mitatu ili waweze kupata vibali vya kufanya kazi katika sekta walizosomea,hii italeta tija sana katika sekta ya elimu na kuleta matokeo chanya zaidi
Unaonekana unawazo zuri, tatizo no namna ulivyoliwasilisha
 
sijawahifundishwa nao ktk vidato, labda chuo. ila hata sasa nahisi wapo, maana mwezi wa sita walikua wamarekani na taarifa zikazagaa kila kona. ila yote na yote hatuna uhaba wa walimu, ndio maana serikali haiajiri kwa miaka miwili sasa
Wewe umegeuka msemaji wa serikali eti, unaelewa ni kipi kimesababisha kusimamisha kuajiri katika sekta mbalimbali na sio ualimu
 
kweli kabisa, mtu anakuja na mawazo ya kuajiri wasio na taaluma husika, wakati wenye taaluma husika wapo mtaani na hawajaajiriwa. ni vyema angeanza kushauri waajiriwe kwanza hao wenye taaluma, kisha ndio apendekeze mambo mengine ili kuboresha. ila maboresho yaheshimu taaluma bya ualimu.


tena mimi naona ungeandika kua, kuna uhaba wa madakatari wa binadamu. alafu mtu anapendekeza madakari wa mifugo waajiriwe kutibu watu mahospitalini, wakati madaktari wa binadamu wapo mtaani na hawajaajiriwa. ajabu sana!
Kwa takwimu zilizofanywa na mashirika binafsi ya elimu unaambiwa hata hawa waajiriwe wote hatutakuwa tumesolve tatizo la upungufu wa walimu wa masuala ya hisabati na sayansi nchini
 
Mbona hujaishauri serikali iwaajiri haraka sana waliopo mtaani kwanza?
Banch 2 za wahitimu zipo tu mtaani halafu unakuja na mawazo ya watu wasio na taaluma ya kazi kupewa hiyo kazi.
Umesha sahau majanga ya walimu wa voda fasta au ulikuwa bado shule ya msingi?
Kuna uhaba wa madaktari, tuwaachukue waliosomea udaktari wa mifugo wazibe pengo lao wakati tunaweka mambo sawa ya kuwapata madaktari. Poor me!
Utaratibu wa kuajiri walimu bado uko kwenye mchakato wa utekelezaji katika hatua za mwisho Hilo liko wazi kabisa
*nije kwenye kukujibu swala la walimu wa vodafasta lilileta matunda ya aina mbili kama vitu vyote dunian mazuri na mabaya ila kwa sababu unachukulia vitu in negative way naona umeconcentrate huko tu, nakusahau mambo mengi mazuri yakusifiwa waliyofanya
*kuhusu mfano wa udaktari wa mifugo na afya haukufaa kuwa hapa kivipi haswa mazingira ya utekelezaji wapi ni tofauti sana ndo maana hakuna mfano kama huo lakini kwa sekta ya elimu tumeona matunda mengi ya non professional teacher ndani ya private schools swala ambalo linatufanya tuamini kuwa serikali ina option nyingne ya kutatua tatizo la walimu kupitia hawa watu
 
Wewe umegeuka msemaji wa serikali eti, unaelewa ni kipi kimesababisha kusimamisha kuajiri katika sekta mbalimbali na sio ualimu
uhaba wa pesa ndio umsababibisha kusitishwa kwa baadhi ya ajira na sio zote. zingine zipo kama kawa
 
Utaratibu wa kuajiri walimu bado uko kwenye mchakato wa utekelezaji katika hatua za mwisho
ungekua karibu na mimi na ukaongea hayo maneno yanayofanana na ya mpuuzi selemani jafo, mpumbavu ndalichako, mshenzi simbachawene na zezeta kairuki; haki ya nani ningekupiga ngumi. usirudie kuongea pumba kama hizo wakati watu wapo mtaani tangu mwaka juzi na wahusika wako bize kutafuta sababu za uongo. tatizo ww uko mwaka wa mwisho chuoni, so huhisi maumivu yoyote.
 
Kwa takwimu zilizofanywa na mashirika binafsi ya elimu unaambiwa hata hawa waajiriwe wote hatutakuwa tumesolve tatizo la upungufu wa walimu wa masuala ya hisabati na sayansi nchini
sawa hawatatosha. ila kama unataka kusaidia sekta ya elimu, basi nenda tamisemi. tamisemi wanautaratibu mzuri wa kuwapa kozi fupi angalau mpate madini kidogo kuhusu ualimu. mbona unakwepa kupata kozi ili ukawa mfanisi zaidi ktk kusaidiaa kwako? au huna lengo zuri na elimu yetu?
 
Kutokana na uhaba wa walimu uliokithiri katika maeneo mengi nchini kwetu haswa walimu wa hisabati na sayansi, nilikuwa naliomba bunge tukufu lije na sheria itayowafanya wahitimu wote wa vyuo bila kujali fani walizosomea kuripoti katika shule za serikali na kufundisha kwa miaka mitatu ili waweze kupata vibali vya kufanya kazi katika sekta walizosomea,hii italeta tija sana katika sekta ya elimu na kuleta matokeo chanya zaidi
Una mawazo mazuri sana mkuu, ila jua kwamba Tz ni moja ya nchi yenye waalimu wengi sana tatizo ni serikali kushindwa kuwathamini na kuwafanya waishi na kudumu kwenye fani ya ualimu. Asilimia kubwa ya wafanyakazi wa umma ni waalimu, wamesoma na kubadilisha fani. Hii inafanya idara ya elimu kutotosheleza kila mwaka wanaajiri lakini hawatoshi.

Jambo la msingi ni serikali kuacha siasa kwenye swala mama la elimu, iwathamini na kuwaboreshea maslahi waalimu, waipende fani yao, watulie, wafanye kazi. Tanzania haina uhaba wa waalimu wa sayansi na hesabu km inavyodhaniwa.

Kutokana na serikali kuweka siasa mbele na kutohangaikia tatizo, sasa hivi idadi ndogo ya wanafunzi waliopo mashuleni ndio wanaona sayansi na wengi wao hawatilii mkazo kitu ambacho kinachangia ufaulu kuwa haififu na kuongeza idadi ya wanaoenda vyuo kusomea ualimu kuwa ndogo kitu ambacho ni hatari sana siku zijazo.
 
kweli kabisa, mtu anakuja na mawazo ya kuajiri wasio na taaluma husika, wakati wenye taaluma husika wapo mtaani na hawajaajiriwa. ni vyema angeanza kushauri waajiriwe kwanza hao wenye taaluma, kisha ndio apendekeze mambo mengine ili kuboresha. ila maboresho yaheshimu taaluma bya ualimu.


tena mimi naona ungeandika kua, kuna uhaba wa madakatari wa binadamu. alafu mtu anapendekeza madakari wa mifugo waajiriwe kutibu watu mahospitalini, wakati madaktari wa binadamu wapo mtaani na hawajaajiriwa. ajabu sana!
Safi sana mkuu. Kuna watu wanafikiri kisengerenyuma sana.
 
Utaratibu wa kuajiri walimu bado uko kwenye mchakato wa utekelezaji katika hatua za mwisho Hilo liko wazi kabisa
*nije kwenye kukujibu swala la walimu wa vodafasta lilileta matunda ya aina mbili kama vitu vyote dunian mazuri na mabaya ila kwa sababu unachukulia vitu in negative way naona umeconcentrate huko tu, nakusahau mambo mengi mazuri yakusifiwa waliyofanya
*kuhusu mfano wa udaktari wa mifugo na afya haukufaa kuwa hapa kivipi haswa mazingira ya utekelezaji wapi ni tofauti sana ndo maana hakuna mfano kama huo lakini kwa sekta ya elimu tumeona matunda mengi ya non professional teacher ndani ya private schools swala ambalo linatufanya tuamini kuwa serikali ina option nyingne ya kutatua tatizo la walimu kupitia hawa watu
Naamini umemsoma huyu jamaa.
kweli kabisa, mtu anakuja na mawazo ya kuajiri wasio na taaluma husika, wakati wenye taaluma husika wapo mtaani na hawajaajiriwa. ni vyema angeanza kushauri waajiriwe kwanza hao wenye taaluma, kisha ndio apendekeze mambo mengine ili kuboresha. ila maboresho yaheshimu taaluma bya ualimu.


tena mimi naona ungeandika kua, kuna uhaba wa madakatari wa binadamu. alafu mtu anapendekeza madakari wa mifugo waajiriwe kutibu watu mahospitalini, wakati madaktari wa binadamu wapo mtaani na hawajaajiriwa. ajabu sana!
Kuhusu matokeo chanya ya vodafasta ni machache kuliko matokeo hasi. Utabisha kwa sababu umeamua kulazimisha hoja. Wale walipigwa msasa ndo wakaingizwa kazini lkn bado kulikuwa na matatizo mengi tu. Je, hao wenye taaluma tofauti halafu waajiriwe, si ndo wataingia na mzuka wa rege kwenye blues?
Tukiacha siasa za majitaka kwenye elimu tutafika mbali sana.
Mpaka hapo naamini tutakubaliana kutokukubaliana.
 
pole sana kijana. ila huwezi kukabiziwa ofisi ya serikali kama muhasibu, wakati hujasomea uhasibu. labda upitie njia za panya, maarufu kama mtoto wa njomba.

unadhani ni kwanini mtu amabye hajasomea uhasibu haaminiwi kukabidhia ofisi ya serikali na kua mtunza fedha? nadhani unajua sababu, na sababu hizo hizo ndizo zinafanya wale wasio walimu wasiruhusiwe kuigiza kama ualimu.

kama unataka kujitolea, basi denda kwa mheshiwa Jafo, a.k.a bwana muongo aliyekubuhu kuhusu ajira za walimu, akupe utaratibu wa kozi fupi ya ualimu. haatutaki uje umekariri notes na majibu ya maswali, kisha uvamie darasa. ualimu sio kujua kusolve tu, bali unajumuisha mambo mengi ambayo kuyajua ni lazima ukausomee.

Mkuu punguza mbwembwe ndiyo maana hao wanafunzi wenu wanakuja kwetu tunawasolvia maswali ambayo walimu vilaza kama wew hawajui kazi kupiga domo ofisini na wakati performance ya ufundishaji inashuka kila siku
Pia tambua asilimia kadhaa wanaofundisha shule za private siyo walimu by proffesional na nadhani unaona zinavyokimbiza kwenye matokeo punguza mawazo mgando
 
Mkuu punguza mbwembwe ndiyo maana hao wanafunzi wenu wanakuja kwetu tunawasolvia maswali ambayo walimu vilaza kama wew hawajui kazi kupiga domo ofisini na wakati performance ya ufundishaji inashuka kila siku
Pia tambua asilimia kadhaa wanaofundisha shule za private siyo walimu by proffesional na nadhani unaona zinavyokimbiza kwenye matokeo punguza mawazo mgando
taja shule hata moja ya private inayofanya vizuri kitaifa, kisha useme ni mtu gani asiye mwalimu anafundisha huko. mimi nafahamu shule nzuri za private wanafuata principle zote za kufundisha. na hua wanawakataza wanafunzi wao kusoma twisheni kwani huko twisheni watakutana na watu wasio walimu (mfano wewe) ambao watawafundhisha uongo.

shule za umma zinachangamoto nyingi sana kulinganisha zile nzuri za private, ndio maana matokeo kwa shule za umma yanakua mabaya kulinganisha na zile nzuri za private.
 
taja shule hata moja ya private inayofanya vizuri kitaifa, kisha useme ni mtu gani asiye mwalimu anafundisha huko. mimi nafahamu shule nzuri za private wanafuata principle zote za kufundisha. na hua wanawakataza wanafunzi wao kusoma twisheni kwani huko twisheni watakutana na watu wasio walimu (mfano wewe) ambao watawafundhisha uongo.

shule za umma zinachangamoto nyingi sana kulinganisha zile nzuri za private, ndio maana matokeo kwa shule za umma yanakua mabaya kulinganisha na zile nzuri za private.
Mkuu kama wewe ni mwalimu ki ukweli tutaendelea kupata matokeo mabovu katika shule za serikali kama sasa kwa sababu mambo yote niliyokuona unajadili kisiasa zaidi unaongea bila kuleta data kamili in short wewe mwenyewe kujielewa ni changamoto kumwelewesha mwanafunzi si itakuwa shida
 
ungekua karibu na mimi na ukaongea hayo maneno yanayofanana na ya mpuuzi selemani jafo, mpumbavu ndalichako, mshenzi simbachawene na zezeta kairuki; haki ya nani ningekupiga ngumi. usirudie kuongea pumba kama hizo wakati watu wapo mtaani tangu mwaka juzi na wahusika wako bize kutafuta sababu za uongo. tatizo ww uko mwaka wa mwisho chuoni, so huhisi maumivu yoyote.
Ukiona mtu anajidili masuala ya elimu unahisi ni mwanachuo bado
Haya ndo mazao ya vijana waliobebwa bebwa tu mnaishi kwa hisia hisia, unatukana mamlaka za kusimamia sekta mbalimbali za nchi still bado unajiona umeelimika kweli hichi ndo kizazi tunachokitaka?
 
Mkuu kama wewe ni mwalimu ki ukweli tutaendelea kupata matokeo mabovu katika shule za serikali kama sasa kwa sababu mambo yote niliyokuona unajadili kisiasa zaidi unaongea bila kuleta data kamili in short wewe mwenyewe kujielewa ni changamoto kumwelewesha mwanafunzi si itakuwa shida
hatutaki maneno mengi. kama unataka kusaidia ktk sekata ya elimu kama mwalimu, basi nenda kozi ujifunze ualimu. mbona unalazimisha kitu ambaccho hakipo? mheshimiwa jafo kashawapa nafasi muende kozi, ila unalazimisha kutaka kufundisha bila kua mwalimu.
 
Back
Top Bottom