Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,171
- 1,080
Sijakuelewa bado labda sauti iko chini kidogoKiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P