Sekta ya Afya nchini kunufaika na msaada wa Dola za Marekani Milioni 600 (takriban Tsh. Trilioni 1.4) kutoka Global Fund

Kaka unakosea sana kumuita The Late Koffi Anan beberu....soma founders wake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Elli, samaki mmoja akioza under the principle of a collective responsibility . Koffi Annan kawekwa strategically kutokana na international accomplishments zake na status yake, lakini hachangii hata senti moja. Fedha za Global Fund ni fedha za beberu Bill Gates.

Billy & Melinda Gates Foundation inafanya mengi makubwa mazuri kwa nchi masikini lakini pia kuna kaji element fulani ka ubeberu, mfano kusambaza various vaccines za kuzuia magonjwa fulani, kwa nchi masikini tuu, mfano wale mbu wa malaria, hapa wametuletea vaccine ya kuzuia cancer ya kizazi mabinti wetu wadada wakachanjwa kumbe pia ni kuwa sterlize, cancer inaua sana Wazungu kuliko hata sisi, serikali yetu haikujiuliza mbona mabinti wa kwao hawawachanji wanakuja kutuletea sisi?!.

Wale GMO mosquitos waliopelekwa nchi fulani, kumbe pia wana fanya sterility!. Unadhani Koffi Annan aliambiwa au alikuwa anajua hili?. Huu pia ni ubeberu.
P
 
Mkuu Elli, samaki mmoja akioza under the principle of a collective responsibility . Koffi Annan kawekwa strategically kutokana na international accomplishments zake na status yake, lakini hachangii hata senti moja. Fedha za Global Fund ni fedha za beberu Bill Gates.

Billy & Melinda Gates Foundation inafanya mengi makubwa mazuri kwa nchi masikini lakini pia kuna kaji element fulani ka ubeberu, mfano kusambaza various vaccines za kuzuia magonjwa fulani, kwa nchi masikini tuu, mfano wale mbu wa malaria, hapa wametuletea vaccine ya kuzuia cancer ya kizazi mabinti wetu wadada wakachanjwa kumbe pia ni kuwa sterlize, cancer inaua sana Wazungu kuliko hata sisi, serikali yetu haikujiuliza mbona mabinti wa kwao hawawachanji wanakuja kutuletea sisi?!.

Wale GMO mosquitos waliopelekwa nchi fulani, kumbe pia wana fanya sterility!. Unadhani Koffi Annan aliambiwa au alikuwa anajua hili?. Huu pia ni ubeberu.
P
Karibu supu Mkuu
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P
Mkuu,leo umeandika kama binadamu,au akili zimeanza kukuludia baada ya teuzi zote bila kukumbukwa?
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P
Bora umesema ukweli ,shida ni uelewa mdogo wa wanaCCM wanaotafuta vyeo kwanguvu.Jana mzee kanyamaza kimya maana alijua na hii isingepita.Ila anatakiwa afanyie kazi issue walio raise USA kwani ndio contributor namba moja wa Global funds.Hata huyo Linden ni mmarekani mweusi
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P

Pascal ni kweli lakini kama wana nia njema kwa nini wasitusaidie kwa mitaji ya viwanda na shighuki zingine za kiuchumi ili watu hawa waache kufanya ngono zembe na kujikinga na mgonjwa hatarishi, maana hayo yote yanatokana na umasikini wa kipato, kuliko kutusaidi kwa watu walioumia tayari ambao sio nguvu kazi tena?
Mfano magonjwa walete wao kisha waone fahari ya kutusaidia kwa dhambi waliotengeneza, bado ubeberu unawahusu.
Kama wanataka kutusaidia waje wanunue mazao na rasilimali zetu kwa usawa ili tupate pesa kwa haki yetu, huo utakuwa msaada zaidi kuliko hii fedheha wanayotufanyia.
 
Serikali ya Tanzania itanufaika na msaada wa dola za Marekani milioni 600 zitakazotolewa na Taasisi ya Global Fund mwezi Januari mwakani kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na maradhi ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria katika kipindi cha miaka mitatu.

Ahadi hiyo imetolewa Jijini Dodoma na Mkuu wa Mfuko huo Barani Afrika Bw. Linden Morrison, alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Jijini Dodoma.

View attachment 1344906
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt.Philip Isdor Mpango (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Global Fund Barani Afrika Bw. Linden Morrison


Amesema kuwa fedha hizo sawa na takriban shilingi za Tanzania trilioni 1.4 zitatumika kuimarisha afya kwa kupambana na magonjwa ya Ukimwi, Kikufua Kikuu na Malaria ambapo vifaa tiba na vitendanishi mbalimbali vitanunuliwa kupitia msaada huo katika kipindi cha miaka mitatu (2021-2023).

Ameeleza kuwa katika kipindi cha miaka 15 ambacho taasisi yake imekuwa na uhusiano mzuri na Tanzania, Mfuko wake tayari umetoa msaada wa dola za Marekani bilioni 2 kwa ajili ya kusaidia sekta ya afya hususan katika mapambano dhidi ya Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria.

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, ameishukuru Taasisi hiyo ya Kimataifa ya Global Fund kwa mchango mkubwa iliyoipatia Tanzania katika mapambano dhidi ya magonjwa hayo hasa malaria, ugonjwa unaoongoza kusababisha vifo vya watanzania wengi.

Dkt. Mpango aliahidi kwamba fedha hizo zitatumika kikamilifu na kama ilivyokusudiwa ili zilete matokeo chanya kwa kuwafikia walengwa nchini kote.

‘‘Nimefurahi kwa sababu nina matumaini kuwa tumepata nguvu ya kupambana na magonjwa haya makubwa, ili Watanzania wawe na afya njema na waweze kujenga uchumi wa nchi yao’’ Alisema Mhe. Mpango.

Aidha Dkt. Mpango alisema katika kikao hicho wamejadili namna ya kuboresha zaidi ushirikiano uliopo kati ya pande hizo mbili ikiwemo kuangalia namna ya kutoa msamaha wa kodi kwenye vifaa yakiwemo magari ya kubebea wagonjwa na dawa zinazoingizwa nchini na Taasisi hiyo kwa ajili ya mradi huo.

“Aidha, Ili kuboresha mahusiano kati ya Tanzania na Taasisi ya Global Fund, nchi itahakikisha inakuwa na ushiriki mpana katika Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko huo ili sauti ya nchi iweze kusikika zaidi” aliongeza Dkt. Mpango

Kuhusu ubadhirifu wa zaidi ya dola za Marekani 400,000 zinazodaiwa kufujwa na baadhi ya Watendaji wa Serikali wanaotekeleza mradi huo hapa nchini, Dkt. Mpango ameuahidi Mfuko huo kwamba Serikali itachunguza na kuwachukulia hatua kali watu wote waliohusika na vitendo hivyo.

Bado mnakula mali za mabeberu
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P

Leo umeamka na akili yako timamu, respect , some days huwa ukiamka unaiyacha lumumba
 
hawa wafadhili wanatukopesha kwenye miradi ya maji ,umeme, na afya.

Mungu azidi kuwabariki siasa isitugombanishe nao kivyovyote tujitahidi tuwe wakarimu kama wao..

asanteni wamarekani, waingereza na wajerumani.. ulaya utabarikiwa kwa kuwa wanajua utoaji ni kanuni ya kimungu

bless you all with love
 
Mtu akikusaidia na baadae akakugongea mkeo utamuitaje?
Amefanya mema na Mabaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtu kugongewa pia ni kusaidiwa, usikute mtu hamfikishi mwenzi wake, hivyo kila siku kumlaza na njaa, anaposaidiwa ndipo anapotulia kwenye ndoa, hivyo ndoa nyingi zinaendelea kuwepo na kudumu kwa misaada hii, tena kuna nyingine nyingine nyingi baada ya kukosa watoto kwa muda mrefu ndani ya ndoa due to low sperm count, familia ikikosa mtoto, anayenyooshewa kidole ni mwanamke, hivyo wanawake wenye akili, wamefanya maarifa, sasa ndoa zina watoto na furaha tele!. Just imagine bila kusaidiwa hali ingekuwaje?.

P
 
Leo umeamka na akili yako timamu, respect , some days huwa ukiamka unaiyacha lumumba
No sio huwa sina akili bali sometimes ni uzalendo, mfano kwenye kujadili issues zozote za muungano, natanguliza uzalendo wa kuusema ukweli mchungu!, mfano hapa nikikueza, Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Azania kabla ya mmomonyoko wa bahari na kumegeka kutoka Azania, hivyo muungano wetu adhimu emeturudishia eneo letu na kamwe hatutaliachia tena!, haswa kwa kuzingatia kuba mvamizi toka Oman, alivamia na kulowea hadi kuunda Usultani, lakini baada ya kulikomboa kwa machozi, jasho na damu kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na kulirejesha eneo kwa wenyewe, walowezi wa mvamizi kamwe hawawezi kupewa tena kwa kipande cha karatasi!.

P
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P

We jamaa sikuelewagi upo mashariki au magharibi...unayumbayumba sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
No sio huwa sina akili bali sometimes ni uzalendo, mfano kwenye kujadili issues zozote za muungano, natanguliza uzalendo wa kuusema ukweli mchungu!, mfano hapa nikikueza, Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Azania kabla ya mmomonyoko wa bahari na kumegeka kutoka Azania, hivyo muungano wetu adhimu emeturudishia eneo letu na kamwe hatutaliachia tena!, haswa kwa kuzingatia kuba mvamizi toka Oman, alivamia na kulowea hadi kuunda Usultani, lakini baada ya kulikomboa kwa machozi, jasho na damu kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na kulirejesha eneo kwa wenyewe, walowezi wa mvamizi kamwe hawawezi kupewa tena kwa kipande cha karatasi!.

P
mkuu siku zayoyoma hizoooo na MEKO anajifanya hakuoni😃😃😃
 
We jamaa sikuelewagi upo mashariki au magharibi...unayumbayumba sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Truthfulness, objectivity na impartiality are the three pillars of journalism, hivyo kutoegemea upande wowote ndio msingi Mkuu wa fani yetu.
P
 
Back
Top Bottom