Sekta ya Afya nchini kunufaika na msaada wa Dola za Marekani Milioni 600 (takriban Tsh. Trilioni 1.4) kutoka Global Fund

Marekani anasaidia masikini kwenye masuala ya afya hata kama anapinga naye. Juzi tu Iran naye kapewa upenyo wa kuagiza dawa na vifaa tiba. Usishangae huu mfuko wa Global Fund ambao ni wa hao hao marekani kusaidia masikini kama Tanzania kwenye masuala ya afya
The Global Fund siyo mufko wa Wamarekani NO! Global Fund ni mfuko wa UN ulioanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati Koffi Annan (RIP) akiwa Katibu Mkuu. Ni personal initiative ya Koffi Annan aliyoiona ni nzuri ku-pursue akiwa Katibu Mkuu wa UN by then kwa Waafrika wenzie ambao walikuwa hawaezi ku-afford medical costs za HIV/ AIDS ambazo zilkuwa sky rocketing.

Lakini Mfuko huu huwa vyanzo vyake vya hela ni donations toka kwa mashirika makubwa duniani kama The Cocacola, Bill & Melinda Gates, nk
 
The Global Fund siyo mufko wa Wamarekani NO! Global Fund ni mfuko wa UN ulioanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati Koffi Annan (RIP) akiwa Katibu Mkuu. Ni personal initiative ya Koffi Annan aliyoiona ni nzuri ku-pursue akiwa Katibu Mkuu wa UN by then kwa Waafrika wenzie ambao walikuwa hawaezi ku-afford medical costs za HIV/ AIDS ambazo zilkuwa sky rocketing.

Lakini Mfuko huu huwa vyanzo vyake vya hela ni donations toka kwa mashirika makubwa duniani kama The Cocacola, Bill & Melinda Gates, nk
Hiyo cocacola na bill & melinda ni ya wapi? Magogoni?

Kwa taarifa yako Trump anauwezo wa kuwambia hao melinda na coca wasitoe mchango huko global fund na wakafanya hivyo bila kupepesa macho
 
Wazungu huwa nawakubali hata kama mpo kwenye vita mara nyingi hawasumbui watu wa kawaida wasio kuwa na hatia.

Mara zote hata kama mpo kwenye vikwazo huwa wanatoa pesa za Afya.

Ila za maendeleo tuote ndoto za mchana tu.
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P
Naona taratibu unaanza kujitenga na unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P
Global fund ni mfuko chini ya UN si marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo cocacola na bill & melinda ni ya wapi? Magogoni?

Kwa taarifa yako Trump anauwezo wa kuwambia hao melinda na coca wasitoe mchango huko global fund na wakafanya hivyo bila kupepesa macho
Usiropoke vitu ambavyo huvijui kwa watu waliokuzidi upeo na maarifa. Trump ana nguvu tu kwenye misaada inayokuja kupitia CDC, PMI na USAID kwa kupitia Congress/ Senate na michango ya Serikali ya US. Michango ya Kiserikali ipo kwenye Global Fund lakini ya makampuni binafsi ndi yo yenye mchango mkubwa. Mada zingine muwe mnasoma kwa ajili ya kupanua uelewa, siyo lazima uandike mradi uonekane na wewe unandika
 
Usiropoke vitu ambavyo huvijui kwa watu waliokuzidi upeo na maarifa. Trump ana nguvu tu kwenye misaada inayokuja kupitia CDC, PMI na USAID kwa kupitia Congress/ Senate na michango ya Serikali ya US. Michango ya Kiserikali ipo kwenye Global Fund lakini ya makampuni binafsi ndi yo yenye mchango mkubwa. Mada zingine muwe mnasoma kwa ajili ya kupanua uelewa, siyo lazima uandike mradi uonekane na wewe unandika
Mkuu mwenye kuifadhili UN ni nani? Nani ni the biggest funding member wa UN.

Jibu ni moja tu ni Marekani, sasa leo wewe jifanye mjanga Marekani azuie ufadhili wake huko uone kama utapata pesa.

Marekani ana ushawishi wa kipekee UN kwa sababu yeye ndie mfadhili mkuu.
 
Kukosoana ni jambo la kawaida hata wao Wamarekani hukusoana mpaka sasa wanataka kumtoa madarakani Rais wao kwa hoja za kutunga. Kwa hio haina mantiki kukariri kwamba huku kuna kipindi wanaitwa mabeberu na kuna kipindi hawaitwi hivyo, wacha maisha yaendelee...
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P
Global fund Ni pesa ya beberu mmarekani kwa 80%

Lakini sisi tutamtukana mmoja na kumpenda mwingine

Hawa jamaa Ni kitu moja
 
Global Fund sio taasisi ya US, naona kila MTU anasema Global Fund ni Taasisi ya Kimarekani, huu ni mkusanyiko wa nchi mbali mbali ambapo kwa Africa nakumbuka kama miaka miwili hivi Nigeria walikua wanachangia pia.

Mwaka 2018 kwenye Mkutano wa Global Fund mmojawapo nadhani ulifanyika Myanmar Tanzania waliahidiwa kupata mgawo wa jumla kama 3 trilioni kwa kipindi cha miaka mitano.

Mkutano wa Global Fund mwaka Jana ulifanyika Rwanda- Africa.

Tusichanganye Global Fund na miradi au taasisi za Kimarekani
Kiukweli hizi Taasisi za Marekani zinavyotusaidia, mfano US Aid, Global Fund, Millennium Challenge Account, etc, wanatusaidia sana, ni kama malaika mkombozi fulani mfano watu wangejua gharama za vidonge vya ARV, Kifua Kikuu na Ukoma, na kujua ni Marekani wanatupa bure na sisi tunazigawa bure, hivyo nchi kama Marekani, Uingereza, EU wanapotusaidia, tunawaita ni nchi wahisani au nchi wafadhili ila pale wanapotukosoa kwa madudu yetu, then wanageka ni mabeberu!. Hivyo mtu mmoja yule yule akifanya mema ni malaika, akifanya mabaya ni shetani!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Global Fund sio taasisi ya US, naona kila MTU anasema Global Fund ni Taasisi ya Kimarekani, huu ni mkusanyiko wa nchi mbali mbali ambapo kwa Africa nakumbuka kama miaka miwili hivi Nigeria walikua wanachangia pia.

Mwaka 2018 kwenye Mkutano wa Global Fund mmojawapo nadhani ulifanyika Myanmar Tanzania waliahidiwa kupata mgawo wa jumla kama 3 trilioni kwa kipindi cha miaka mitano.

Mkutano wa Global Fund mwaka Jana ulifanyika Rwanda- Africa.

Tusichanganye Global Fund na miradi au taasisi za Kimarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
Main funder wa GF Ni USA

Na ndio wenye highest voting right mkuu

Check mwaka huu walivyokuja kivingine
 
Nimeshangazwa hata Mimi kuona watu wana uelewa mdogo kiasi hiki kuhusu Global Fund, eti ni Taasisi ya Kimarekani! Na tunajadili hadi mishipa imetutoka shingoni.

Kwanza Marekani walishaanza kujitoa kwenye Global Fund (sijui kama bado).

Tunalishana Tango Pori hapa na tunashangilia.
The Global Fund siyo mufko wa Wamarekani NO! Global Fund ni mfuko wa UN ulioanzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati Koffi Annan (RIP) akiwa Katibu Mkuu. Ni personal initiative ya Koffi Annan aliyoiona ni nzuri ku-pursue akiwa Katibu Mkuu wa UN by then kwa Waafrika wenzie ambao walikuwa hawaezi ku-afford medical costs za HIV/ AIDS ambazo zilkuwa sky rocketing.

Lakini Mfuko huu huwa vyanzo vyake vya hela ni donations toka kwa mashirika makubwa duniani kama The Cocacola, Bill & Melinda Gates, nk
Screenshot_20200204-073149.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Global Fund sio taasisi ya US, naona kila MTU anasema Global Fund ni Taasisi ya Kimarekani, huu ni mkusanyiko wa nchi mbali mbali ambapo kwa Africa nakumbuka kama miaka miwili hivi Nigeria walikua wanachangia pia.
Mwaka 2018 kwenye Mkutano wa Global Fund mmojawapo nadhani ulifanyika Myanmar Tanzania waliahidiwa kupata mgawo wa jumla kama 3 trilioni kwa kipindi cha miaka mitano.
Mkutano wa Global Fund mwaka Jana ulifanyika Rwanda- Africa.
Tusichanganye Global Fund na miradi au taasisi za Kimarekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna beberu na mabeberu, Global Fund imekuwa set up na mabeberu na ndio wanachangia zaidi.

Kama ilivyo kwa General Budget Support Fund kwa Tanzania, kupitia Basket Funding, inachangiwa na several developments partners, UK inachangia 80%, sasa kama UK ni beberu, fedha za General Budget Support ni fedha za mabeberu!.
P
 
Global fund Ni pesa ya beberu mmarekani kwa 80%
Lakini sisi tutamtukana mmoja na kumpenda mwingine
Hawa jamaa Ni kitu moja
No hatumtukani mmoja na kumpenda mwingine bali mmoja huyo huyo, wakati akitusaidia, ni nchi rafiki, ni donor country, ni development partner, ila akitukosoa kwa kutofuata good governance, poor human rights records na repressive laws, tunamuita beberu.
P
 
Kwa Tanzania Global Fund wametoa pesa kupitia NGOs mbali mbali kama Save the Children kama Main Recipient na Sub grantee wakiwa AMREF, BMAF, MDH, Africare hii ikiwa ni 2016 na baada ya hapo AMREF ndio wakawa main recipient huku Subgrantee wakiwa THPS, BMAF, na wengine.

Wanamwaga pesa za kutosha sana miradi mbali mbali ya Afya inayofanywa ni Global Fund acha hizi kelele za CCM kuwa wameboresha afya.

Global Fund kwa Tz wamefanya haya na mengine....
- Decentralization ya Hospital ya Kibong'oto ambapo huduma ambazo zilikua zifanyike huko tu zinapatikana sehemu nyingine nchini
- Madawa
-Vifaa
- Na strengthened data system
- kukimbiza lengo la three 90's

Na mengine. Ila CCM ukiwakuta wanaeleza utadhani pesa wametoa kwenye mifuko yao pumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka unakosea sana kumuita The Late Koffi Anan beberu....soma founders wake!
Kuna beberu na mabeberu, Global Fund imekuwa set up na mabeberu na ndio wanachangia zaidi.

Kama ilivyo kwa General Budget Support Fund kwa Tanzania, kupitia Basket Funding, inachangiwa na several developments partners, UK inachangia 80%, sasa kama UK ni beberu, fedha za General Budget Support ni fedha za mabeberu!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom