Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Cde Daniel Chongolo akiongozana na wajumbe wa Sekretariet ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wamewasili Zanzibar Jumapili 4 Julai 2021 kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili.
Mara baada ya mapokezi mafupi katika bandari ya Malindi Cde Chongolo na ujumbe wake walifika kusalimiana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein katika makaazi yake Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.
Wakati wa mchana Cde Chongolo atahudhuria mapokezi rasmi katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kiswandui kisha kuzungumza na wanachama, wapenzi na wakerekwete wa CCM mikoa mitatu ya Unguja.
#KaziInaendelea#
#ChamaImara#
Mara baada ya mapokezi mafupi katika bandari ya Malindi Cde Chongolo na ujumbe wake walifika kusalimiana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein katika makaazi yake Mazizini nje kidogo ya mji wa Zanzibar.
Wakati wa mchana Cde Chongolo atahudhuria mapokezi rasmi katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kiswandui kisha kuzungumza na wanachama, wapenzi na wakerekwete wa CCM mikoa mitatu ya Unguja.
#KaziInaendelea#
#ChamaImara#