JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 526
- 583
“Kwa sasa tunaruhusu mikutano ya ndani, isipokuwa kwa wabunge wenye majimbo” Samia Suluhu Hassan, Madam President.
Sasa nyie Secretariat ya CCM mmeenda Zanzibar mkafanya mkutano huko mpaka watoto wadogo wakaanza vijembe kwa kina Mbowe.
Sasa mko Mikoa ya Songwe na Rukwa, huyu katibu mwenezi naona amefanya mkutano wa hadhara kama mbunge wa Wapi?
Sasa nyie Secretariat ya CCM mmeenda Zanzibar mkafanya mkutano huko mpaka watoto wadogo wakaanza vijembe kwa kina Mbowe.
Sasa mko Mikoa ya Songwe na Rukwa, huyu katibu mwenezi naona amefanya mkutano wa hadhara kama mbunge wa Wapi?