Mp19
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 259
- 715
Majina mbona yamo humu mkuu. Ulikua kada gani?Hii hali nimeiona tangu juzi jioni, watu tulifanya usaili tukitegemea kuanzia Jumamosi tupate matokeo ya usaili wa mchujo lakini binafsi nikifungua inazingua.
Yananigomea kuyaweka, ila kuna mdau flani kayaweka. Nmeku-tag kwenye huo uzi.Yaweke baba tuyaone