Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS)

Nsombas

JF-Expert Member
Oct 25, 2018
239
321
Wakuu naomba kulifahamu hili suala ambalo lipo PSRS. Unakuta wameita watu 600+ kwenye written interview kwa nafasi fulani ambayo inahitaji watumishi 32. Ninachotaka kufahamu, hua wanafanya marking kivipi mpaka wanatoa matokeo ya written interview siku hiyo hiyo. Na wakati huo huo kuna nafasi nyingine zaidi ambazo nazo zina walofanya usaili wa maandishi nao matokeo hutolewa siku hiyo hiyo.
Nisaidieni nipate ufahamu tafadhali. Wana mark kwa kutumia nini? Au technology imekua sana na kuna systems za kufanya marking?
 
Watu mia 6 ni watu wachache sana hapo watu wanne ndani ya saa limoja walishamaliza kusahihisha na ndani ya dakika 20 walishaweka kwenye excel kabisa haahaha! 600 ni wachache mnooo.
 
Naona mnateteana watu wa utumishi humu.huwezi sahihisha karatasi za watu mia 6 na kuzifeed kwenye computer siku hiyo hiyo tena ndani ya lisaa limoja au mawili tena na muda huo huo kuna kada zingine nazo unakua unazisahihisha.
 
Ni sahihi.

Mtoa mada, maswali huwa ni MCQs, Short answers au Essay?
Position ya Maafisa huwezi kuta MCQs pale Utumishi (hapa najiweka kwenye position nilofanya more than 3 times). Ni explain, describe, short answers etc
 
Watu mia 6 ni watu wachache sana hapo watu wanne ndani ya saa limoja walishamaliza kusahihisha na ndani ya dakika 20 walishaweka kwenye excel kabisa haahaha! 600 ni wachache mnooo.
Mhmh mkuu hapana asee. Kumbuka sio 600 pekee wanaotarajiwa kupokea matokeo siku hio. Unakuta kuna wengine wa kozi nyingine pia.
 
Naona mnateteana watu wa utumishi humu.huwezi sahihisha karatasi za watu mia 6 na kuzifeed kwenye computer siku hiyo hiyo tena ndani ya lisaa limoja au mawili tena na muda huo huo kuna kada zingine nazo unakua unazisahihisha.
Mkuu, upo sahihi. Ndio sababu iliyofanya niulize.
 
Ila inawezekana maana kuna lecturer mmoja nakumbuka tukiwa chuo alitoa test ya maswali 10 ya explain! Ilikuwa saa nne.... Kufika saa 10 keshamaliza na kutoa matokeo wa kwanza mpaka wa mwisho tena peke yake kwa wanafunzi zaidi ya 1,000! 😦
 
Ila pale utumishi lazima uwe na koneksheni... Kuna pepa mi nahisi nilipasua vizuri tu lakini sikuchaguliwa! Akachaguliwa jamaa yangu ambaye mzee wake ana cheo fulani serikalini na kiuwezo nilikuwa namzidi karibia kila kitu....
 
Huwa wanazigeuza pepa kila msahihishaji anakata fungu lake na kuanza kusahihisha hadi ikitimia idadi ya watu waliofikisha marks zinazohitajika wanaishia hapo hapo. Nyingine hazisahihishwi kabisa, wana weka tuu marks randomly below pass mark. Next time ukiitwa jaribu kumaliza pepa haraka.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Huwa wanazigeuza pepa kika msahihishaji anakata fungu lake na kuanza kusahihisha hadi ikitimia idadi ya watu waliofikisha marks zinazohitajika wanaishia hapo hapo. Nyingine hazisahihishwi kabisa, wana weka tuu marks randomly below pass mark. Next time ukiitwa jaribu kumaliza pepa haraka.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Ukimaliza mapema si ndo pepa lako linakuwa chini??? 🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom