mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
wana JF kuna hizi ofisi mbili zinazohusika na utaftiaji wa kwa watu wasiokuwa na ajira lakini mpaka sasa zimeprove failure ila wanapokea mishahara minono, je kuna haja ya hizi ofisi kuwepo?
hizi ofisi zinazidisha tatizo la ukosefu wa ajira kwakweli.. Wangeziondoa tu aisee