mchakachuaji
Member
- Aug 12, 2010
- 58
- 7
wana JF kuna hizi ofisi mbili zinazohusika na utaftiaji wa kwa watu wasiokuwa na ajira lakini mpaka sasa zimeprove failure ila wanapokea mishahara minono, je kuna haja ya hizi ofisi kuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi ofisi zinazidisha tatizo la ukosefu wa ajira kwakweli.. Wangeziondoa tu aisee