Sekretariat ya ajira mnawatia umasikini watanzania

Omuzirambogo

JF-Expert Member
Feb 23, 2018
685
750
Napongeza kwanza kwa kutangaza na kuendesha mchakato wa ajira kwa wantanzania. Ila kwa sasa mnawatia umasikini wantanzania. Kazi inahitaji mtu mmoja, mnatoa orodha ya watu 500. Hawa mnawaita wafanye mtihani wa mchujo kwa ghalama zao; mtihani wa dakika 40 unaosahihishwa kwa saa mbili na kutoa majibu. Mnachagua wanne kwa mahojiano. Tambueni haya;
1. Hawa wanakopa pesa ya nauli
2. Hawana jamaa katika miji ya interview hivyo wanataka pesa ya kujikimu.
Napendekeza haya;
1. kwa sasa technolojia imekua hivyo mnaweza kundesha mtihani wa mchujo online, mkapata manowataka kwa interview ya mahojiano.
2. Au mtihani wa mchujo ufanyike kwenye makao makuu ya wilaya na wanaofaulu ndio waje kwenye mchujo.
Tambueni kuwa wengi wa wanaokuja kwenye interview ni vijana waliomaliza vyuo na hawana pesa za kujikimu.
 
Naomba kuchangia. Iko hivi kuhusu idadi ya watu kama ulisema watu 500 nafasi 1 ukweli ni kwamba yoyote alieomba kama unavigezo tu lazima wakuite ni uwezo wako wa kujitoa kwenye hilo lundo LA watu na kuwa best candidate anayetakiwa. Kifupi ni kwamba haijalishi nafasi ziko ngapi ikiwa tu umekidhi vigezo watakuita
Nije kuhusu vituo vya kufanyia usaili. Kiukweli hili ni changamoto kubwa sana ambayo utumishi wanapaswa kuitafutia ufumbuzi haijalishi wameita idadi kiasi gani kwenye usaili wanapaswa kuwa na kanda kama sio kila mkoa. Madai yao ni kwamba ikiwa idadi ni ndgo huwa usaili unafanyika dar lakin pale kunapokuwa na watu wengi huwa wanafanya kikanda rejea TRA na national auditing walifanya kikanda. Binafsi ni mhanga mkubwa wa michakato ya utumishi Senior job seeker but before they decide to make those changes endelea kupambana mabadiliko yatakukuta njia ya safari
 
Mkuu,what if siku ukiomba nafasi ambayo unavigezo usiitwe nayo halafu kwa kigezo cha idadi ww usiitwe,utajisikiaje? Idadi ni number tu ukijipanga vena paper zao unatoboa tu
 
Napongeza kwanza kwa kutangaza na kuendesha mchakato wa ajira kwa wantanzania. Ila kwa sasa mnawatia umasikini wantanzania. Kazi inahitaji mtu mmoja, mnatoa orodha ya watu 500. Hawa mnawaita wafanye mtihani wa mchujo kwa ghalama zao; mtihani wa dakika 40 unaosahihishwa kwa saa mbili na kutoa majibu. Mnachagua wanne kwa mahojiano. Tambueni haya;
1. Hawa wanakopa pesa ya nauli
2. Hawana jamaa katika miji ya interview hivyo wanataka pesa ya kujikimu.
Napendekeza haya;
1. kwa sasa technolojia imekua hivyo mnaweza kundesha mtihani wa mchujo online, mkapata manowataka kwa interview ya mahojiano.
2. Au mtihani wa mchujo ufanyike kwenye makao makuu ya wilaya na wanaofaulu ndio waje kwenye mchujo.
Tambueni kuwa wengi wa wanaokuja kwenye interview ni vijana waliomaliza vyuo na hawana pesa za kujikimu.
Zile pepa nina wasiwasi kama wana-mark kweli! Unakuta watu 1000 wamemaliza pepa saa 7 au 8 mchana na the next day mnaambiwa angalieni matokeo kwenye website!! Nakumbuka shuleni walimu walikuwa wanatumia hata mwezi kumark karatasi za watoto 50 tu! Sasa wenyewe wanawezaje!!?
 
Zile pepa nina wasiwasi kama wana-mark kweli! Unakuta watu 1000 wamemaliza pepa saa 7 au 8 mchana na the next day mnaambiwa angalieni matokeo kwenye website!! Nakumbuka shuleni walimu walikuwa wanatumia hata mwezi kumark karatasi za watoto 50 tu! Sasa wenyewe wanawezaje!!?
Juzi watu wamemaliza paper saa nne, saa nane siku hiyo wameweka majina mtandaoni.
 
1.Hiyo kusema hizo written zifanyike eti kwenye kila makao makuu ya wilaya haipo sawa, wenyewe walifanya hivo ili kudhibiti zile mambo za mitihani kuvuja vuja, so kwa hili wako sawa kabisaa, labda ungesema ifanywe kwa kanda at lest, au kama vipi wasogeze hata dodoma kule katikati watupunguzie gharama.

2. Wote wanaoitwa wanasifa sasa shida yako nini? unaogopa competition au

3.Kwenye kusahihisha hapo sina uhakika kama wanachukuaga expert wa hizo field kweli maana kuna mitihani mtu unajiuliza umefeli vipi yani
 
1.Hiyo kusema hizo written zifanyike eti kwenye kila makao makuu ya wilaya haipo sawa, wenyewe walifanya hivo ili kudhibiti zile mambo za mitihani kuvuja vuja, so kwa hili wako sawa kabisaa, labda ungesema ifanywe kwa kanda at lest, au kama vipi wasogeze hata dodoma kule katikati watupunguzie gharama.

2. Wote wanaoitwa wanasifa sasa shida yako nini? unaogopa competition au

3.Kwenye kusahihisha hapo sina uhakika kama wanachukuaga expert wa hizo field kweli maana kuna mitihani mtu unajiuliza umefeli vipi yani
HAKUNA KULETA USHINDANI KWA IDADI YA 500 KWA NAFAS MBILI TUMIA AKILI NDUGU WW UNA KAZI NDO MAANA UNAJIBU UTUMBO UWE MSTARABU KWA KUWAFIKILIA NA WENGINE USIJIFIKIRIE WW TU.
ANGALAU UNGESHAUR NN KIFANYIKE BADALA YA KUZUNGUMZA TU UJINGA
 
Ushatolea taarifa TAKUKURU?
Juzi watu wamemaliza paper saa nne, saa nane siku hiyo wameweka majina mtandaoni.
Zile pepa nina wasiwasi kama wana-mark kweli! Unakuta watu 1000 wamemaliza pepa saa 7 au 8 mchana na the next day mnaambiwa angalieni matokeo kwenye website!! Nakumbuka shuleni walimu walikuwa wanatumia hata mwezi kumark karatasi za watoto 50 tu! Sasa wenyewe wanawezaje!!?
 
HAKUNA KULETA USHINDANI KWA IDADI YA 500 KWA NAFAS MBILI TUMIA AKILI NDUGU WW UNA KAZI NDO MAANA UNAJIBU UTUMBO UWE MSTARABU KWA KUWAFIKILIA NA WENGINE USIJIFIKIRIE WW TU.
ANGALAU UNGESHAUR NN KIFANYIKE BADALA YA KUZUNGUMZA TU UJINGA

Ujinga wangu ni upi? jaribu kuwa na busara, mmi sina kazi kama usemavyo, kuita watu 500 ni swala jingine na wewe kwenda ni swala jingine kwan wanakulazimisha kwenda? kama huna chakuandika usinitukane **** la mama akoo
 
Ujinga wangu ni upi? jaribu kuwa na busara, mmi sina kazi kama usemavyo, kuita watu 500 ni swala jingine na wewe kwenda ni swala jingine kwan wanakulazimisha kwenda? kama huna chakuandika usinitukane **** la mama akoo
Rudi darasan KONKI
 
Uwe unasoma na kuelewa kwanza sio Kila Comment yakukurupukia Man..
UNAPASWA WW KABLA YA KUANDIKA UTAFAKALI.
UUNGWANA HAUZWI.
ELEZA HATA YULE ANAESOMA AJUE HAPA KAPITA MSOMI SI SHABIKI.
USIUNGE MKONO JAMBO ILIHALI LINAONEKANA HALINA USAWA TOA PENDEKEZO ILI ANAEHUSIKA AKIPITA APATE CHA KUJIFUNZA/KUCHUKUA.
 
UNAPASWA WW KABLA YA KUANDIKA UTAFAKALI.
UUNGWANA HAUZWI.
ELEZA HATA YULE ANAESOMA AJUE HAPA KAPITA MSOMI SI SHABIKI.
USIUNGE MKONO JAMBO ILIHALI LINAONEKANA HALINA USAWA TOA PENDEKEZO ILI ANAEHUSIKA AKIPITA APATE CHA KUJIFUNZA/KUCHUKUA.

Mimi nilisema haya hapa.. Hebu nionyeshe wapi kuna UKAKASI ili tueleweshane
1.Hiyo kusema hizo written zifanyike eti kwenye kila makao makuu ya wilaya haipo sawa, wenyewe walifanya hivo ili kudhibiti zile mambo za mitihani kuvuja vuja, so kwa hili wako sawa kabisaa, labda ungesema ifanywe kwa kanda at lest, au kama vipi wasogeze hata dodoma kule katikati watupunguzie gharama.

2. Wote wanaoitwa wanasifa sasa shida yako nini? unaogopa competition au

3.Kwenye kusahihisha hapo sina uhakika kama wanachukuaga expert wa hizo field kweli maana kuna mitihani mtu unajiuliza umefeli vipi yani

Halafu mimi siwezi kua Upande wa utumishi hata siku moja sababu nilisha wahi leta huu Uzi wangu wa malalamiko juu yao unaweza kuupitia ukibonyeza hapa utumishi-mtaniua-kwa-pressure
 
Sekretarieti wako fair sana. Nafikiri hoja iwe kudecentralize sehemu za kufanyia usaili ziwe kwenye kanda. Kuita watu wote wenye sifa ni sawa kabisa ili wenye uwezo zaidi wakashinde wenyewe kupitia usaili
 
Umegusa penyewe kabisa ila vijana niwaambie ukweli ukiona umeitwa oral na utumishi ukifika sehemu yakufanyia hyo interview iwe pale utumishi penyewe au watakapokuwa wamepanga wao,ukifka pale wakati mpo nje mnasubili kuitwa usizungumzie siasa kabisa na kama ukizungumzia siasa wewe kisifie chama tawala mwenzenu kwenye kazi za mwaka jana za TRA nilikuwa nimeitwa nafasi tatu tofauti ila sikupata ata moja kwahyo sio kila unaye muona pale ni msailiwa mwenzio wengine wanakuwa wametoka vitengo.
 
Back
Top Bottom