Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
nipen jib la hilo swali hapo juu je ni sekondar gani tz ambay viongoz wengi na watu mashuhur wamesoma? ikibid hat oroza!
nipen jib la hilo swali hapo juu je ni sekondar gani tz ambay viongoz wengi na watu mashuhur wamesoma? ikibid hat oroza!
Janja janja school, ndyo maana unaona viongoz weng hawajielewi
Taboraaaaa School kichwaaaa cha Tanzaniaaa x 2
Twaelimishwaaaa, Ili tujitegemeeee
Haaapa alisomeshwaaaa, nayeeeeee baba wa taifa
Baba wa taifa x2
Taboraaaaa School kichwaaaa cha Tanzaniaaa
Inaendelea, wadau mtanikumbusha!! I miss my old school!!
Inafaa kiwepo chuo kikuu cha Technolojia ya tiba, Uhandisi pamoja na Siasa kwa mchango wake mkubwa nchini. TABORA NATIONAL UNIVERSITY (Its my wish)
orodhesheni shule then mtu mashuhuri aliyesoma shule hiyo. Msiongee kiujumla jumla tu kama spika wetu