Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,205
- 15,162
Wasalaam Wakuu!.
Leo CHADEMA walikuwa na jambo lao waliloliita KATIBA DAY ambapo viongozi wao wakuu wa Chama pamoja na wanachama wao mashuhuri walihudhuria katika kongamano hilo.
Suala la Katiba mpya ni lenye umuhimu kwa maslahi mapana ya taifa letu..
Lakini, tujitafakari! Hii ilikuwa agenda ya CHADEMA tangu hapo awali ama wamebadili gia baada ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan kugusia juu ya swala lenyewe?
Je, endapo mwendazake angekuwa hai mpaka leo agenda hii ingefanikishwa? Ama ndo wasingethubutu kulizungumzia?
Mwendazake alishwahi kutamka kuwa suala la Katiba siyo moja ya vipaumbele katika awamu yake. Na kamwe CHADEMA na vyama vingine, havijawahi kuthubutu kutamka ama kuthubutu kutoa miguu yao kujaribu kushinikiza kupatikana kwa katiba mpya.
Kwa nini iwe sasa hivi? Ni baada ya kupima kina cha maji na kuona Mh Rais na taasisi zake zimepoa?
Leo CHADEMA walikuwa na jambo lao waliloliita KATIBA DAY ambapo viongozi wao wakuu wa Chama pamoja na wanachama wao mashuhuri walihudhuria katika kongamano hilo.
Suala la Katiba mpya ni lenye umuhimu kwa maslahi mapana ya taifa letu..
Lakini, tujitafakari! Hii ilikuwa agenda ya CHADEMA tangu hapo awali ama wamebadili gia baada ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan kugusia juu ya swala lenyewe?
Je, endapo mwendazake angekuwa hai mpaka leo agenda hii ingefanikishwa? Ama ndo wasingethubutu kulizungumzia?
Mwendazake alishwahi kutamka kuwa suala la Katiba siyo moja ya vipaumbele katika awamu yake. Na kamwe CHADEMA na vyama vingine, havijawahi kuthubutu kutamka ama kuthubutu kutoa miguu yao kujaribu kushinikiza kupatikana kwa katiba mpya.
Kwa nini iwe sasa hivi? Ni baada ya kupima kina cha maji na kuona Mh Rais na taasisi zake zimepoa?