Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Hii nchi bhana, yaani sekeseke moja likiibuka njia ya kulizima ni kuanzisha sekeseke lingine, na hapo macho, masikio, akili na mijadala inahamia kwenye hilo jipya na watz walivyo wasahaulifu wanahama jumla!
Sekeseke la Polepole lilitrend sana na kuteka mitandao yote ya kijamii, lakini ikumbukwe la Polepole lilikuja kimkakati kuzima sekeseke lingine lililokuwa limeshika hatamu hapo kabla.
Sasa Spika, Job Ndungai baada ya kutamka sentensi mbili tatu tu, sentensi hizo zimehamisha kabisa mjadala uliokuwa unahusu wahuni na Ky uliokuwa ukimhusisha Polepole kiasi kwamba alikuwa akianzishiwa nyuzi kila baada ya nusu saa huku.
Kwa sasa hakuna anayemjadili tena Polepole, sasa hivi ni spika tu!
Sasa hili hili la spika kupotea na kusahauliwa muda si mrefu kuna mtu mwingine ataibuka na sentensi zake mbili tu, kuhusu ishu flani hivi na hakuna atakayekumbuka tena maneno ya spika! Uwanja utahamishwa rasmi.
Hii nchi system ipo kazini masaa 24, inatokea tu linaandaliwa tukio from nowhere mtu anatoa boko hata kanisani, mjadala unahama.
Sekeseke la Polepole lilitrend sana na kuteka mitandao yote ya kijamii, lakini ikumbukwe la Polepole lilikuja kimkakati kuzima sekeseke lingine lililokuwa limeshika hatamu hapo kabla.
Sasa Spika, Job Ndungai baada ya kutamka sentensi mbili tatu tu, sentensi hizo zimehamisha kabisa mjadala uliokuwa unahusu wahuni na Ky uliokuwa ukimhusisha Polepole kiasi kwamba alikuwa akianzishiwa nyuzi kila baada ya nusu saa huku.
Kwa sasa hakuna anayemjadili tena Polepole, sasa hivi ni spika tu!
Sasa hili hili la spika kupotea na kusahauliwa muda si mrefu kuna mtu mwingine ataibuka na sentensi zake mbili tu, kuhusu ishu flani hivi na hakuna atakayekumbuka tena maneno ya spika! Uwanja utahamishwa rasmi.
Hii nchi system ipo kazini masaa 24, inatokea tu linaandaliwa tukio from nowhere mtu anatoa boko hata kanisani, mjadala unahama.