Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #281
Bado sijaona jipya hapa...Nataka kusikia mtanganyika angalau mmoja anatamka hadharani kama na yeye hautaki Muungano...Sio kujificha hapa JF na kujifanya mchambuzi mashuhuri.
Wakati unakaribia ule mrija wa unyonyaji tanaukata....
Watanganyika wanaaamini katika Muungano kwani ndivyo taifa letu lilipoanzia. We are by the very founding of our nation pro-African union. Tatizo ni kuwa Muungano na Zanzibar labda haukutakiwa kuwepo in the first place hasa kwa vile toka mwanzo imekuwa ni kulalamika tu. Wakishatoka Tanzania bara wala haitakwazika kama nchi nyingine inataka kuungana na labda tutaungana vizuri zaidi baada ya kujifunza somo la Zanzibar. Lakini siamini kama kuna nchi yoyote itakayotaka kuibeba Zanzibar mgongoni namna Tanganyika ilivyoibeba na kuidekeza Zanzibar.