Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Katibu Mkuu wa CUF,Seif Sharif Hamad amefanya mahojiano na kituo cha television cha Aljazeera ambao ameongelea hali ya kisiasa hapa nchini na hususa Muswaada wa Vyama vya Siasa ambao ameuelezea kama ni "ploy" wenye lengo la kutaka kudidimiza uwanja wa kufanya siasa hapa nchini.
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.
Swali:Aljazeera nao ni mabeberu au wanatumwa na mabeberu?
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.
Swali:Aljazeera nao ni mabeberu au wanatumwa na mabeberu?