Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Ni Huzuni, majonzi & mshtuko
Mratibu wa Chama cha Rwanda National Congress (RNC) nchini Afrika ya Kusini ameuawa akiwa Cape Town.
Mwendazake Seif Bamporiki ameuawa kwa kupigwa risasi (silencer) leo Februari 21, 2021 majira ya 7:30 PM kwa saa za Afrika Kusini.
Chama cha RNC kinaongozwa na Mpinzani mkubwa wa Rais Paulo Kagame Jenerali Kayumba Nyamwasa kikiwa na makao makuu yake nchini Afrika Kusini.
Mwendazake jana Februari 20, 2021 alishiriki kikamilifu kwenye sherehe za kumbukumbu ya Wanachama wa RNC waliopoteza maisha yao katika mazingira ya "kutatanisha".
Source: Various sources from Rwanda/ South Africa.
Mratibu wa Chama cha Rwanda National Congress (RNC) nchini Afrika ya Kusini ameuawa akiwa Cape Town.
Mwendazake Seif Bamporiki ameuawa kwa kupigwa risasi (silencer) leo Februari 21, 2021 majira ya 7:30 PM kwa saa za Afrika Kusini.
Chama cha RNC kinaongozwa na Mpinzani mkubwa wa Rais Paulo Kagame Jenerali Kayumba Nyamwasa kikiwa na makao makuu yake nchini Afrika Kusini.
Mwendazake jana Februari 20, 2021 alishiriki kikamilifu kwenye sherehe za kumbukumbu ya Wanachama wa RNC waliopoteza maisha yao katika mazingira ya "kutatanisha".
Source: Various sources from Rwanda/ South Africa.