Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Tukubaliane kuwa hata kama Seif kaamua kutoa porojo la Idd el fitri,bado watu kama yeye sio wa kizazi hiki kinachotaka mabadiliko ya kweli na chenye uchungu na hali ya nchi ilivyo.Mapambano haya yataendeshwa kwa dhati na watu ambao wanapinga utawala mbovu kwa manufaa ya WaTz na sio wale wanaopinga baada ya kutemwa na system.