Seif aonywa umwagaji damu.Hamadi Rashidi amtaka atoke hadharani. Asisitiza ADC itashiriki Uchaguzi

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
12742476_1039146206149837_137232878430565783_n.jpg
 
CCM huwa ni wajinga sana yaani wao wafanye ujinga wao, Seif ajitoe kwenye huo ujinga wao afu eti damu ikimwagika Seif ndo mhusika
 
Ha ha ha ha haaa... CUF imetumia akili sana Ktk Hili, wamecheza MAJOKEL mawili kwa mpigo, ki vyovyote vile utaramba tu..!!
 
Ni kama Umoja wa Ulaya walivyomuonya Magufuli...kama mambo yakiharibika Zanzibar, wa kwanza kwenda the Hague ni huyu jamaa (Magufuli) akifuatiwa na Shein.
 
Ni kama Umoja wa Ulaya walivyomuonya Magufuli...kama mambo yakiharibika Zanzibar, wa kwanza kwenda the Hague ni huyu jamaa (Magufuli) akifuatiwa na Shein.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom