Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Sultan Seif Sharrif Hamad ameshachukua fomu za kugombea tena nafasi ya katibu mkuu wa CUF. Lipumba yeye amesema ataamua wiki moja kabla ya uchaguzi wa chama hicho ili kutowatisha wanachama wengine kuchukua fomu na kugombea.
Sambamba na hilo Seif ametangaza kuwa atagombea tena kwa mara ya nne urais wa Zanzibar. Mwenzie Lipumba bado hasema chochote kuhusu kugombea Urais mwaka 2010.
Akichukua fomu hizo mjini Zanzibar, Seif amewakemea viongozi waafrika kwa kuwa ving'ang'anizi wa madaraka kwa kumnyima uongozi kila aliposhinda Zanzibar mwakaa 95, 00, 05.
.....ndiyohiyo
Sambamba na hilo Seif ametangaza kuwa atagombea tena kwa mara ya nne urais wa Zanzibar. Mwenzie Lipumba bado hasema chochote kuhusu kugombea Urais mwaka 2010.
Akichukua fomu hizo mjini Zanzibar, Seif amewakemea viongozi waafrika kwa kuwa ving'ang'anizi wa madaraka kwa kumnyima uongozi kila aliposhinda Zanzibar mwakaa 95, 00, 05.
.....ndiyohiyo