chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Kila mtu anafahamu kuhusu wazawa. Asilimia kubwa ya sehemu za wazawa ni walewale tokea eneo hilo kuanzishwa.
Sehemu zilizo na wazawa maendeleo huwa ni magumu sana,mazoea yaliyo ptiliza,kutokubali kubadilika,kubebana hata kama kakosea mzawa.
Wazawa asilimia kubwa ni wababe kwenye sehemu. Wazawa hawapendi mabadilko,waharibifu ndio chimbuko kufanya wajinga na watu wa wasio na maamuzi.
Tuje kwenye mada kwa nini wazawa kuwa ni sifa hizi!
A ni yetu mzawa nayetaka kumueleza ni huyu aliye madarakani na chama chake.
Tokea kupata uhru mpaka mda huu ni mzawa tosha kabisa
Sehemu zilizo na wazawa maendeleo huwa ni magumu sana,mazoea yaliyo ptiliza,kutokubali kubadilika,kubebana hata kama kakosea mzawa.
Wazawa asilimia kubwa ni wababe kwenye sehemu. Wazawa hawapendi mabadilko,waharibifu ndio chimbuko kufanya wajinga na watu wa wasio na maamuzi.
Tuje kwenye mada kwa nini wazawa kuwa ni sifa hizi!
A ni yetu mzawa nayetaka kumueleza ni huyu aliye madarakani na chama chake.
Tokea kupata uhru mpaka mda huu ni mzawa tosha kabisa