naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Habarini wana ndugu,
Nataka kujua eneo/ sehemu nzuri ya kula chakula (inayopika chakula kizuri) na kwenye mandhali nzuri iliyotulia.
Ningependelea zaidi maeneo hayo yawe kuanzia Mwenge kuelekea Makumbusho au Mwenge kuelekea Ubungo,
Naomba mwenye kujua anijuze wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
Asanteni
Nataka kujua eneo/ sehemu nzuri ya kula chakula (inayopika chakula kizuri) na kwenye mandhali nzuri iliyotulia.
Ningependelea zaidi maeneo hayo yawe kuanzia Mwenge kuelekea Makumbusho au Mwenge kuelekea Ubungo,
Naomba mwenye kujua anijuze wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.
Asanteni